baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,580
- 1,773
Habari wakuu,
Naombeni kuuliza leo nimeota nipo mtaani kwangu nikawa naruka kama ndege lakini sina mabawa naruka huku nimesimama wima, nazunguka zunguka mtaani kila kona napita nakutana na watu wanaonifahamu wananishangaa nakutana na watu wazima nashuka chini huku tunapeana mikono tunasalimiana naendelea tena kupaa watu wengi wananishangaa sana japo nilikuwa napaa siyo juu sana, mbele nikakutana na rafiki yangu mmoja hivi namfahamu amekaa na watu nikashuka tukawa tunatembea nikajaribu tena kuruka nikaona nashindwa nikapotezea tukawa tunatembea.
Mwenye uelewa na ndoto hii wakuu.
Mshana Jr karibu
NB: Jamani kuota unapaa raha sana.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni kuuliza leo nimeota nipo mtaani kwangu nikawa naruka kama ndege lakini sina mabawa naruka huku nimesimama wima, nazunguka zunguka mtaani kila kona napita nakutana na watu wanaonifahamu wananishangaa nakutana na watu wazima nashuka chini huku tunapeana mikono tunasalimiana naendelea tena kupaa watu wengi wananishangaa sana japo nilikuwa napaa siyo juu sana, mbele nikakutana na rafiki yangu mmoja hivi namfahamu amekaa na watu nikashuka tukawa tunatembea nikajaribu tena kuruka nikaona nashindwa nikapotezea tukawa tunatembea.
Mwenye uelewa na ndoto hii wakuu.
Mshana Jr karibu
NB: Jamani kuota unapaa raha sana.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app