Ndoto ya mke wangu imepunguza upendo na amani kwenye nyumba yetu

Mwambie ni ndoto tuu asiwekee sana kwenye mawazo hutokea chamsingi a ombe dua kabla hajalala.....
 
Unashangaa kaulize kwa wanaojuwa kuagua ndoto utapata jibu lake hilo nililosema..

Uongo si kazi, ndugu yangu, huwa nakuona kama mganga fulani hivi wa kienyeji, sijui kilinge chako ki mahali gani?
 
huwa tunasali kila siku kabla ya kulala, lakini mwenzangu tangu aote ndoto hiyo hataki hata kusali na mimi.
Ndio pepo lenyewe,
Nenden kwa viongozi wenu wa maombi mkaombewe,
Waje na nyumbani kwenu wapaombee,
Msikubali pepo huyo akapata mamlaka kati yenu na kuivunja ndoa yenu,tena msipoteze mda kwan mnapambana na nguvu isiyoyakawaida na mnahitaji msaada wa nguvu za mungu haraka.
 
Kweli njozi nyingine za tisha, mi mwenyewe kihoro na kitete kimenijaa baada ya kusoma hiyo njozi

Isaya 41:10 Basi, usiogope, mimi nipo pamoja nawe. Usifadhaike, mimi ni Mungu wako. Nitakuimarisha na kukusaidia; nitakulinda kwa mkono wangu wa ushindi
 


....lol, niki 'connect- - the- -dots' cobra na tendo la ndoa....hahaha...ni ndoto tu hiyo "Snake Charmer!"
 

Hii ilimu nzito sana....
 
maisha ya pamoja naona yanawashinda. HIVI SIKU AKIOTA KALALA KITANDA KIMOJA NA RAIS , ATAHAMA KWAKO AENDE IKULU.........?
 

Acha ushirikina, ndoto ni kiut cha kawaida. Ukiota unakufa huwa inatokea kweli? Acha!!!!!!!!!!!!!
 
Wee mzizimkavu, umeanza lini kutafsiri ndoto?

 
Sasa kama hataki hata kushiriki sala wakati wa kulala, huyo ana lake jambo, sijui mnaabudu wapi, lakini mngeenda kwenye vipindi vya fellowship na maombi kanisani akaombewe

huwa tunasali kila siku kabla ya kulala, lakini mwenzangu tangu aote ndoto hiyo hataki hata kusali na mimi.
 
Pigeni maombi maana wanasema watu, shetani (kwa kutumia vimada na vidumu) anaziwinda sana ndoa. Huwezi jua what is behind.:A S 465:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…