Ndoto ya mke wangu imepunguza upendo na amani kwenye nyumba yetu

Ndoto ya mke wangu imepunguza upendo na amani kwenye nyumba yetu

Njoo Ufanyiwe maombi, njoo uombewe, njoo ufanyiwe maombi........
 
Hyo ilikua kaz ya hayat yahya HUSEIN
huwa sijishughulishi kutafsiri ndoto, muhimu ni kufanya maombi kwa imani zenu. mumkemee shetani na kuharibu nguvu zake, na kurudisha uwepo wa Mungu kati yenu. mnaweza kuongea na kiongozi wenu wa dini pia kwa sala na ushauri,
pole sana
 
Uongo si kazi, ndugu yangu, huwa nakuona kama mganga fulani hivi wa kienyeji, sijui kilinge chako ki mahali gani?
Unaonaje na wewe ukatunga uongo wako kumjibu huyu jamaa ana matatizo ya mke wake amekuwa Mgonjwa hebu na wewe mpe uongo wako ili umpate kumsaidia usiwe mwepesi tu kujibu Uongo si kazi weka na wewe uongo wako ili jamaa mke wake apone. 😡
 
Mke wangu mwezi uliopita aliota ndoto. Ndoto yenyewe ni hii:-

eti alikuwa ameniudhi, kwa hasira nikamwambia utanikoma.
Nikaondoka kwa hasira, niliporudi nikarudi na nyoka mkubwa sana aina ya cobra, akawa ananisihi nisimdhuru na huyo nyoka.
Kwa hasira nikamuwekea huyo nyoka kwenye mkono wake.

Nyoka akawa anamtafuna mkono na hakuwa na mtu wa kumsaidia.
Watu wote walikuwa wakimshangaa, na mwishoni akasaidiwa na shehe mmoja.

Tangu ameota ndoto hiyo upendo umeshuka sana ndani ya nyumba, hamna amani, muda wote ni mnyonge na hana raha kabisa.
Muda wote amekuwa akibubujikwa na machozi na amepoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa.

Wapendwa naomba msaada wenu, je nifanye nini ili kurudisha furaha na upendo, pia imani na amani vilivyo potea??
Je hiyo ndoto ina tafsiri au maana gani?

Naamini JF ni kisima cha hekima nitapata msaada wa kutosha kutokana na busara na hekima zenu.

Pole sana ndugu yangu,ndo mapito hayo kwenye ndoa.Soma ujumbe huu utakusaidia
Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama tunavyosoma katika Biblia; lakini je! Unaamini ya kuwa Mungu anasema na watu kwa njia ya ndoto siku hizi?
Najua kuna watu wanaoamini na wengine hawaamini. Sijui wewe uko upande gani.
Lakini nataka nikueleze hivi; Kufuatana na Biblia kuna ndoto za aina tatu;
(a) Kuna ndoto kutoka kwa Mungu. Soma kitabu cha Hesabu 12:6, na Yoeli 2:28.
(b) Kuna ndoto zinakuja kwa sababu ya shughuli nyingi. Soma kitabu cha Mhubiri 5:3.
(c) Kuna ndoto za uongo zinazotoka kwa shetani aliye baba wa uongo. Soma kitabu cha Yeremia 23:52 na Yohana 8:44.
Unaweza kutofautisha kwa namna gani tofauti iliyopo kati ya hizi ndoto? Na utajuaje kuwa ndoto uliyoiota imetoka kwa Mungu? Kila ndoto lazima ipimwe na Neno la Mungu. Ikiwa imetoka kwa Mungu, ni lazima utakuta neno la Mungu ambalo linaeleza maana yake. Mara nyingine ndoto toka kwa Mungu huja kama fumbo; lakini Roho Mtakatifu ajuaye kuyafumbua mafumbo ya Mungu (1 Wakorintho 2:10,11), atalifunua fumbo hilo kwa kukuonyesha neno la Mungu linalofanana na ndoto hiyo.
Si busara kuzikubali ndoto zote unazoota bila ya kuzipima katika Neno la Mungu. Na pia si busara kuzikataa ndoto zote bila kuzipima katika Neno la Mungu.
 
Nilipata kusikia mahali fulani kwamba eti ukiota nyoka kwa namna yeyote ile ni dalili ya ujio wa fitna kwa maana nyoka ni alama ya fitna.Sijui kama ni kweli.
 
Mke wangu mwezi uliopita aliota ndoto. Ndoto yenyewe ni hii:-

eti alikuwa ameniudhi, kwa hasira nikamwambia utanikoma.
Nikaondoka kwa hasira, niliporudi nikarudi na nyoka mkubwa sana aina ya cobra, akawa ananisihi nisimdhuru na huyo nyoka.
Kwa hasira nikamuwekea huyo nyoka kwenye mkono wake.

Nyoka akawa anamtafuna mkono na hakuwa na mtu wa kumsaidia.
Watu wote walikuwa wakimshangaa, na mwishoni akasaidiwa na shehe mmoja.

Tangu ameota ndoto hiyo upendo umeshuka sana ndani ya nyumba, hamna amani, muda wote ni mnyonge na hana raha kabisa.
Muda wote amekuwa akibubujikwa na machozi na amepoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa.

Wapendwa naomba msaada wenu, je nifanye nini ili kurudisha furaha na upendo, pia imani na amani vilivyo potea??
Je hiyo ndoto ina tafsiri au maana gani?

Naamini JF ni kisima cha hekima nitapata msaada wa kutosha kutokana na busara na hekima zenu.
mkeo anamatatizo yake. ndoto kaota yeye sasa anakununia wewe ili iweje? nakushauri usiwe na wasiwasi. ndoto ni ndoto tu. kama wewe hujawai nuia jambo baya kwa mkeo basi usiwe na wasiwasi. haya mambo ni magumu. kwamfano unauhakika gani kuwa aliota hiyo ndoto/ asije akawa anakitu anachokipika yeye, sisemi umhisi vibaya yeye bali nataka kusema achana na ndoto.
ni kama angeota amekufa, angemnunia nani?, angeota amekusaliti angemnunia nani? . mwambie mkeo asiabudu ndoto na asipime upendo wako kwa ndoto, atabomoa nyumba yenu. kama anakataa kusali utashangaa bila ya wewe kujua amekwenda kwa "fundi". na hapo ndo .... . sisemi tena
 
Pole sn mkuu hilo si la kuliwacha tu hivi2. Mfanyie dawa, kusomewa au kuombewa kwa mujibu wa dini yenu. Mambo ya ajabu yapo, na mtu yyt yanaweza mpata. Usije dhani hio hali itabadilka tu yenyewe pasi na kushughulikiwa.
 
mwambie mkeo aache kulia mana hata akilia haitasaidia kitu, wewe pamoja na yeye ombeni mkiwa na imani kwamba mtashina majaribu ya shetani na kweli mtashinda,mi nilishakumbana na ndoto za nyoka mara 3 na haipiti siku 2 bila kukutana na nyoka tena eneo lililile nililoota, SHETANI ANAMBINU NYINGI SANA
 
Pole sana ndugu yangu,ndo mapito hayo kwenye ndoa.Soma ujumbe huu utakusaidia
Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama tunavyosoma katika Biblia; lakini je! Unaamini ya kuwa Mungu anasema na watu kwa njia ya ndoto siku hizi?
Najua kuna watu wanaoamini na wengine hawaamini. Sijui wewe uko upande gani.
Lakini nataka nikueleze hivi; Kufuatana na Biblia kuna ndoto za aina tatu;
(a) Kuna ndoto kutoka kwa Mungu. Soma kitabu cha Hesabu 12:6, na Yoeli 2:28.
(b) Kuna ndoto zinakuja kwa sababu ya shughuli nyingi. Soma kitabu cha Mhubiri 5:3.
(c) Kuna ndoto za uongo zinazotoka kwa shetani aliye baba wa uongo. Soma kitabu cha Yeremia 23:52 na Yohana 8:44.
Unaweza kutofautisha kwa namna gani tofauti iliyopo kati ya hizi ndoto? Na utajuaje kuwa ndoto uliyoiota imetoka kwa Mungu? Kila ndoto lazima ipimwe na Neno la Mungu. Ikiwa imetoka kwa Mungu, ni lazima utakuta neno la Mungu ambalo linaeleza maana yake. Mara nyingine ndoto toka kwa Mungu huja kama fumbo; lakini Roho Mtakatifu ajuaye kuyafumbua mafumbo ya Mungu (1 Wakorintho 2:10,11), atalifunua fumbo hilo kwa kukuonyesha neno la Mungu linalofanana na ndoto hiyo.
Si busara kuzikubali ndoto zote unazoota bila ya kuzipima katika Neno la Mungu. Na pia si busara kuzikataa ndoto zote bila kuzipima katika Neno la Mungu.

Bwana akubariki sana mchungaji,neno lako limenijenga nami pia. Ubarikiwe sana.
 
Kwa elimu yangu ya Ndoto ni kuwa huyo nyoka kama ni Mkubwa ni dalili ya kuwa Mke wako ana Pepo mbaya ndani ya mwili wake na huyo Shetani ni dume huwa anamjia katika usingizini kwa njia ya ndoto. Na itafika wakati atakuwa akilala na wewe kwenye kitanda huyo mke wako atakuwa analala kwa ubavu kwa pembeni hataki muwe pamoja na wewe mtakuwa mnalala kitanda kimoja na

hamfanyi tendo lenu la mapenzi tunaweza kusema ana shetani Mwanamme huyo mke wako itafika wakati hata kama utakuwa unafanya nae mapenzi atakuwa hajisikii raha ndani ya mapenzi yenu. Na atakuwa akiamka asubuhi mke wako atakuwa anajisikia kama

kuumwa na kichwa kwa wakati mwengine atakuwa ni mchovu wa mwili kama vile aliyefanya kazi nzito wakati wa usingizini usiku. Nakushauri fanya hii dawa kwanza kwa muda wa kama siku 3 upate magamba ya vitunguu saumu uchanganye na maji kila anapolala
usiku awe anajipakaa yale maji yaliyochanganyika na magamba ya vitunguu saumu ili kumfanya yule shetani dume amkimbie ili ndoa yenu idumu atumie hiyo dawa kwa muda wa siku kama 3 kila usiku anapolala ajipake hayo maji ya magamba ya vitunguu

saumu kwa huo muda wa siku3. Na kama wewe na mke wako ni wakristo mpeleke kwa Mchungaji akamuombee dua la kama wewe ni Muislam mpelkee kwa Sheikh amuombee dua ili huyo shetani mbaya amtoke ndani ya mwili wa mke wako asante. Huo ndio ushauri wangu.

hehehe hii ndo jf bhana
 
Pole sana ndugu yangu,ndo mapito hayo kwenye ndoa.Soma ujumbe huu utakusaidia
Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama tunavyosoma katika Biblia; lakini je! Unaamini ya kuwa Mungu anasema na watu kwa njia ya ndoto siku hizi?
Najua kuna watu wanaoamini na wengine hawaamini. Sijui wewe uko upande gani.
Lakini nataka nikueleze hivi; Kufuatana na Biblia kuna ndoto za aina tatu;
(a) Kuna ndoto kutoka kwa Mungu. Soma kitabu cha Hesabu 12:6, na Yoeli 2:28.
(b) Kuna ndoto zinakuja kwa sababu ya shughuli nyingi. Soma kitabu cha Mhubiri 5:3.
(c) Kuna ndoto za uongo zinazotoka kwa shetani aliye baba wa uongo. Soma kitabu cha Yeremia 23:52 na Yohana 8:44.
Unaweza kutofautisha kwa namna gani tofauti iliyopo kati ya hizi ndoto? Na utajuaje kuwa ndoto uliyoiota imetoka kwa Mungu? Kila ndoto lazima ipimwe na Neno la Mungu. Ikiwa imetoka kwa Mungu, ni lazima utakuta neno la Mungu ambalo linaeleza maana yake. Mara nyingine ndoto toka kwa Mungu huja kama fumbo; lakini Roho Mtakatifu ajuaye kuyafumbua mafumbo ya Mungu (1 Wakorintho 2:10,11), atalifunua fumbo hilo kwa kukuonyesha neno la Mungu linalofanana na ndoto hiyo.
Si busara kuzikubali ndoto zote unazoota bila ya kuzipima katika Neno la Mungu. Na pia si busara kuzikataa ndoto zote bila kuzipima katika Neno la Mungu.

aisee uko dipu
 
Hakuna cha ndoto, pepo wala upuuzi wowote,

Huyo mwanamke anahitaji mapumziko..Ya mwili na roho....Mwache kwanza...ndoto na mawenge wenge yataisha yenyewe!!

Ningekuwa mie, ningejaribu kujiuliza kama kila kitu anachosema mwenzi wangu ni cha kweli....kutafuta visingizio kwenye mahusiano ni jambo la kawaida sana...Ila inakera unapojikuta unamsaidia mwenzio kubeba mzigo ambao purely ni wake na hao waliomsababishia huo msongo wa mawazo!!
 
Mke wangu mwezi uliopita aliota ndoto. Ndoto yenyewe ni hii:-

eti alikuwa ameniudhi, kwa hasira nikamwambia utanikoma.
Nikaondoka kwa hasira, niliporudi nikarudi na nyoka mkubwa sana aina ya cobra, akawa ananisihi nisimdhuru na huyo nyoka.
Kwa hasira nikamuwekea huyo nyoka kwenye mkono wake.

Nyoka akawa anamtafuna mkono na hakuwa na mtu wa kumsaidia.
Watu wote walikuwa wakimshangaa, na mwishoni akasaidiwa na shehe mmoja.

Tangu ameota ndoto hiyo upendo umeshuka sana ndani ya nyumba, hamna amani, muda wote ni mnyonge na hana raha kabisa.
Muda wote amekuwa akibubujikwa na machozi na amepoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa.

Wapendwa naomba msaada wenu, je nifanye nini ili kurudisha furaha na upendo, pia imani na amani vilivyo potea??
Je hiyo ndoto ina tafsiri au maana gani?

Naamini JF ni kisima cha hekima nitapata msaada wa kutosha kutokana na busara na hekima zenu.
Ndoto si uhalisia. inabidi ukae nae uongee nae na kumwambia kuwa unaweza ota lakini unachokiota hakitokei. Lakini pia inabidi uangalie je, kabla ya yeye kuota hivyo mahusiano yenu yamekuwa ya vurugu au la. Ukiwa unaongea nae hayo basi waweza kumchumu kidogo na hata kupiga mechi kabisa kudhihirisha kuwa hicho kitu hakiopo na wewe unampenda yeye na ni yeye tu. langu ni hilo
 
Pole sana ndugu yangu,ndo mapito hayo kwenye ndoa.Soma ujumbe huu utakusaidia
Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama tunavyosoma katika Biblia; lakini je! Unaamini ya kuwa Mungu anasema na watu kwa njia ya ndoto siku hizi?
Najua kuna watu wanaoamini na wengine hawaamini. Sijui wewe uko upande gani.
Lakini nataka nikueleze hivi; Kufuatana na Biblia kuna ndoto za aina tatu;
(a) Kuna ndoto kutoka kwa Mungu. Soma kitabu cha Hesabu 12:6, na Yoeli 2:28.
(b) Kuna ndoto zinakuja kwa sababu ya shughuli nyingi. Soma kitabu cha Mhubiri 5:3.
(c) Kuna ndoto za uongo zinazotoka kwa shetani aliye baba wa uongo. Soma kitabu cha Yeremia 23:52 na Yohana 8:44.
Unaweza kutofautisha kwa namna gani tofauti iliyopo kati ya hizi ndoto? Na utajuaje kuwa ndoto uliyoiota imetoka kwa Mungu? Kila ndoto lazima ipimwe na Neno la Mungu. Ikiwa imetoka kwa Mungu, ni lazima utakuta neno la Mungu ambalo linaeleza maana yake. Mara nyingine ndoto toka kwa Mungu huja kama fumbo; lakini Roho Mtakatifu ajuaye kuyafumbua mafumbo ya Mungu (1 Wakorintho 2:10,11), atalifunua fumbo hilo kwa kukuonyesha neno la Mungu linalofanana na ndoto hiyo.
Si busara kuzikubali ndoto zote unazoota bila ya kuzipima katika Neno la Mungu. Na pia si busara kuzikataa ndoto zote bila kuzipima katika Neno la Mungu.

asante kwa kukopi kutoka kwa MWAKASEGE na kupesti JF
 
To see a snake or be bitten by one in your dream signifies hidden fears and worries that are threatening you. Your dream may be alerting you to something in your waking life that you are not aware of or that has not yet surfaced. Alternatively, the snake may be seen as phallic and thus symbolize temptation, dangerous and forbidden sexuality. In particular, to see a snake on your bed suggests that you are feeling sexually overpowered or sexually threatened. You may be inexperienced, nervous or just unable to keep up. If you are afraid of the snake, then it signifies your fears of sex, intimacy or commitment. The snake may also refer to a person around you who is callous, ruthless, and can't be trusted. As a positive symbol, snakes represent healing, transformation, knowledge and wisdom. It is indicative of self-renewal and positive change.
 
Kwa elimu yangu ya Ndoto ni kuwa huyo nyoka kama ni Mkubwa ni dalili ya kuwa Mke wako ana Pepo mbaya ndani ya mwili wake na huyo Shetani ni dume huwa anamjia katika usingizini kwa njia ya ndoto. Na itafika wakati atakuwa akilala na wewe kwenye kitanda huyo mke wako atakuwa analala kwa ubavu kwa pembeni hataki muwe pamoja na wewe mtakuwa mnalala kitanda kimoja na

hamfanyi tendo lenu la mapenzi tunaweza kusema ana shetani Mwanamme huyo mke wako itafika wakati hata kama utakuwa unafanya nae mapenzi atakuwa hajisikii raha ndani ya mapenzi yenu. Na atakuwa akiamka asubuhi mke wako atakuwa anajisikia kama

kuumwa na kichwa kwa wakati mwengine atakuwa ni mchovu wa mwili kama vile aliyefanya kazi nzito wakati wa usingizini usiku. Nakushauri fanya hii dawa kwanza kwa muda wa kama siku 3 upate magamba ya vitunguu saumu uchanganye na maji kila anapolala
usiku awe anajipakaa yale maji yaliyochanganyika na magamba ya vitunguu saumu ili kumfanya yule shetani dume amkimbie ili ndoa yenu idumu atumie hiyo dawa kwa muda wa siku kama 3 kila usiku anapolala ajipake hayo maji ya magamba ya vitunguu

saumu kwa huo muda wa siku3. Na kama wewe na mke wako ni wakristo mpeleke kwa Mchungaji akamuombee dua la kama wewe ni Muislam mpelkee kwa Sheikh amuombee dua ili huyo shetani mbaya amtoke ndani ya mwili wa mke wako asante. Huo ndio ushauri wangu.


Nimehisi kama Shekhe Yahya amerudi vile lol!
 
mi ndo assistant dreams muaguaji. unipm majogoo 3 ya kijani na mbuzi dume wa bluu (b4 krismas) manake ndoto inayokuja ni ya wewe kugeuka kitunguu swaumu kupikiwa pilau la krismas:eyebrows: usipate 😛hoto:
Nita ku PM, nataka unitangenezee dawa ya kumng'oa Tenga TFF, naona ofisi isha mshinda
 
Back
Top Bottom