let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Utakuja uambiwe na wengine kitu kama hiki.Kwahiyo kinachopiganiwa si ardhi tena bali ni Wayahudi wanalazimishwa kusilimu wawe waislamu.Basi hili litakuwa ajabu lingine la Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuja uambiwe na wengine kitu kama hiki.Kwahiyo kinachopiganiwa si ardhi tena bali ni Wayahudi wanalazimishwa kusilimu wawe waislamu.Basi hili litakuwa ajabu lingine la Dunia
Dini ya mtoto wa beki tatu hajiri na mtumwa wa ibilisi mudi imekuwa laana tupu kwa ulimwengu.Hiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
Kauwawa na magaidi ya Israeli Diaper Forces (IDF) huyo. Pole sana mtanzania mwenzetu.
Itakufukia tu wala usijali muda utasemaInasikitisha na kuumiza sana.lakini tujiulize palestina ingekua huru leo hii joshua angekutana na zahma kama hii? Tusiangalie tulipoangukia bali tulipojikwaa. Poleni sana familia ya joshua kwa sasa israeli siyo pahala salama kupeleka vijana.
You have to blame Israel for all these .Itakufukia tu wala usijali muda utasema
SAfi kabisa mkifinywa tusione kelele za free palestineYou have to blame Israel for all these .
Wanafinyana huko kwenye uwanja wa vita we wawapi?SAfi kabisa mkifinywa tusione kelele za free palestine
Acha kuandika ujinga ..Nasikia walimtumia kama Jasusi. Tuwaepishe watoto kutumika na watu waouvu
hivi hawa wamalawi ndio walipelekwa kama chambo amaChanzo kikuu cha vifo vya hao Watanzania wenzetu, ni hao Mayahudi kushindwa kuwahakikishia usalama wao.
Ni watu wachache pekee ndiyo watanielewa. Haiwezekani nchi inayosifiwa kwa intelijensia duniani, ivamiwe na wanamgambo saa 12 asubuhi! Halafu wanamgambo hao, waue watu na kuwachukua wengine mateka; huku vyombo vya dola vikishindwa kuwasaidia.
Uzembe wa hali ya juu kabisa!! Halafu leo wanaona bora waishambulie Gaza kwa mabomu na kuua maelfu ya raia wasio na hatia!!
Chanzo kikuu cha vifo vya hao Watanzania wenzetu, ni hao Mayahudi kushindwa kuwahakikishia usalama wao.
Ni watu wachache pekee ndiyo watanielewa. Haiwezekani nchi inayosifiwa kwa intelijensia duniani, ivamiwe na wanamgambo saa 12 asubuhi! Halafu wanamgambo hao, waue watu na kuwachukua wengine mateka; huku vyombo vya dola vikishindwa kuwasaidia.
Uzembe wa hali ya juu kabisa!! Halafu leo wanaona bora waishambulie Gaza kwa mabomu na kuua maelfu ya raia wasio na hatia!!
nategemea utakuwa unalaani izrael kwa mauji ama unaunga mkono mauaji yanayofanywa na izraelUislamu wa Tanzania una shida
Mfano waarabu waislamu Sudani kaskazini wanaua waislamu waafrika weusi kule Dafur lakini huwezi kusikia muislamu wa Tanzania mweusi akilaani hayo mauaji na huwezi kusikia wapalestina au nchi za kiarabu za kiislamu zikilaani hayo mauaji ya waafrika Dafur lakini kukitokea Mwarabu wa Palestina,Iraki,nk anauawa kelele misikiti yote ya waswahili Tanzania kulaani Mwarabu kuuawa na maabdamano juu kuonyesha mshikamamo na waarabu
naimani kiongozi wenu wa imani anawafahamu vizuri sana ndio maana majuzi tu akawapa baraka mbarikiwaDini ya mtoto wa beki tatu hajiri na mtumwa wa ibilisi mudi imekuwa laana tupu kwa ulimwengu.
Hiyo ndo kazi kubwa ya waisrael usidhani wanapendwa sana, jamaa wana machine za propaganda na wanamwaga pesa haswa dunianiHivi Moderator mna siri gani uongozi wa jamiiforum na wasio waislamu? Kwanini mimi kila nnapoleta taarifa mnazihamisha, au mnazifuta kabisa! Huyu MK254 n.k mada zao hamzigusi, kulikoni! Mnakera sana, na tumeshawashtukia, tunawaangalia tu.
Au jamiiforum unatumika na waisrael na wamarekani ndio maana mnatufanyia hivyo!
Kilimo alienda kusomea Jangwani Gaza? Akaacha Morogoro?Dogo alisomea ukulima pale Morogoro kisha akapata fursa ya kwenda kuongeza elimu na maarifa Israel, yeye ndiye mtoto wa kwanza kwenye familia yenye watoto watano, ndoto yake ilikua akirudi nyumbani afanye ukulima biashara ila magaidi ya kidini yalikua na mawazo mengine.
Mashabiki wa hayo magaidi kisa dini mkae mkijua hata shetani mwenyewe anawashangaa, mumemzidi ukatili.
===================
Joshua Mollel (Courtesy)
Joshua Mollel, 21, an agricultural intern from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and authorities said his body is being held hostage in Gaza.
Fellow Tanzanian Clemence Mtenga, who was originally thought to be held hostage following the October 7 attack, was declared dead on November 18, and his body was sent back to Tanzania for burial.
Tanzania’s Foreign Minister January Makamba said in a statement that Mollel was “immediately killed after being kidnapped by Hamas,” according to information from Israeli authorities, adding that his father, Loitu Mollel, will be traveling to Israel with a government official to receive more information.
Ezekiel Kitiku, a fellow Tanzanian intern, was living and working with Mtenga on Kibbutz Nir Oz in the dairy farm. He told BBC that as the air raid sirens sounded on October 7 and he ran for shelter, he texted both Mtenga and Mollel. “They told me that there were so many rockets coming from Gaza — and that they were going to the shelters too,” he said. But a few hours later, they were no longer answering.
Joshua — the oldest of five children — had finished a diploma in agriculture studies from a college in the eastern Tanzanian city of Morogoro and then left for Israel in September — his first time traveling out of Tanzania.
He was working in the Kibbutz Nahal Oz dairy farm, and was excited to learn more about farming, wanted to eventually open his own agricultural business back home.
A few weeks after the attack, his father spoke to BBC, telling them he last spoke to Joshua on October 5, two days before the Hamas onslaught.
“I said, ‘Be on your best behavior because you’re somewhere new, and make the most of the internship you’re there to do,'” he recounted.
“My son wants to make his fortune in agribusiness and become one of Tanzania’s most successful farmers,” his father said at the time, saying they were hoping he would return home from his studies to build a successful business.
“We can’t eat or sleep — when I go to the market people ask me why I’m losing so much weight,” said his father weeks after the attack.
He told AFP in late October, “I feel bad all the time because my son is not a warrior. He just went for training but is now in trouble.”
He described his son as “polite, obedient and serious” about his work.
Louito told the BBC that Joshua’s younger siblings “ask me every morning and night: ‘Dad, we want to talk to our brother.'”
Serikali yako baada ya Taarifa za Kutekwa ilichukua Hatua gani?Hiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
Tupe mfano wa m Tanzania mwingine aliyeenda huko na akarudi akawa mkulima mkubwa.Kilimo cha wale kinawalisha nyie msio jangwani, maana wanatumia akili hivyo inabidi kwenda kusomea huko, wavaa makobaz hamuwezi kuelewa hili.
Inawezekana aiseeeNasikia walimtumia kama Jasusi. Tuwaepishe watoto kutumika na watu waouvu