Ndoto yangu kuwa na mwanaume doctor haijatimia

Ndoto yangu kuwa na mwanaume doctor haijatimia

Devotha mosha

Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
5
Reaction score
5
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia, natafuta mume mcha Mungu hata awe doctor au yeyote. Mimi najihusisha na mambo ya kisheria, mimi ni mchaga mrefu saizi ya kati, umri wangu ni miaka 26 na ni maji ya kunde, ni mkristo na niko seriously.

Kama uko tayari na serious plz inbox me.
 
images.jpg
Mimi ni Dr wa miti shamba na mazingaumbwe. Karibu ujaribu bahati yako kabla wenzako hawajaniwai​
 
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia.natafuta mume mchamungu hata awe doctor au yeyote. Mim najihusisha na mambo ya kisheria..!mm ni mchaga mrefu saiz ya kati umri wangu ni miaka 26 na nimaji ya kunde.ni mkristo .na Niko seriously.kama uko tayar na serious plz inbox me..
Hamchelewi kufunua vifungu ili kupata vifungu vya sexual harrassment.
 
Unataka mume dictator awe ana dictate nini kwa mfano au dictator tu
 
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia.natafuta mume mchamungu hata awe doctor au yeyote. Mim najihusisha na mambo ya kisheria..!mm ni mchaga mrefu saiz ya kati umri wangu ni miaka 26 na nimaji ya kunde.ni mkristo .na Niko seriously.kama uko tayar na serious plz inbox me..
Devota Unajiusisha na mambo ya sheria kivip? Ww ni wakili,? Mwanasheria hakimu ,au nan?
 
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia.natafuta mume mchamungu hata awe doctor au yeyote. Mim najihusisha na mambo ya kisheria..!mm ni mchaga mrefu saiz ya kati umri wangu ni miaka 26 na nimaji ya kunde.ni mkristo .na Niko seriously.kama uko tayar na serious plz inbox me..
Niko hapa dokta wa mifugo
 
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia.natafuta mume mchamungu hata awe doctor au yeyote. Mim najihusisha na mambo ya kisheria..!mm ni mchaga mrefu saiz ya kati umri wangu ni miaka 26 na nimaji ya kunde.ni mkristo .na Niko seriously.kama uko tayar na serious plz inbox me..
"....mambo ya kisheria" ndo mambo gani hayo Manka??
 
Back
Top Bottom