Msokwa1
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 477
- 526
Ndyo mkuuWewe ni doctor????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo mkuuWewe ni doctor????
Nami nilitaka nikuulizeMe mwenyewe hata sijui kwakweli.
Labda tumuulize kk
Pacha wako?? [emoji6] [emoji6]Mimi?[emoji23][emoji23]
Siwezi kabisa fanya hivyo
Hongera dogo. Doctor at that ageNdyo mkuu
Unataka dokta kwani una magonjwa sugu?Au unataka dokta wa fani gani hasa? Mimi dokta wa mapenzi,umenipenda?Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia.natafuta mume mchamungu hata awe doctor au yeyote. Mim najihusisha na mambo ya kisheria..!mm ni mchaga mrefu saiz ya kati umri wangu ni miaka 26 na nimaji ya kunde.ni mkristo .na Niko seriously.kama uko tayar na serious plz inbox me..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Not doctor yet but i'm doctor to be
Age 23
Tribe: ndali
Religion:christian
Colour:super black
Height:5feet
Pennis size:7inches after erection
WELCOME
Naona umejoin JF leo mahususi kwa ajili ya kuja kutafuta mume........kumbe JF ni kubwa kiasi hiki kuwa waweza pata mume?? Duuh karibu na hongera mama!!
Acha kulipuka weye. Una frustration s zako?Kitu kidogo umebwatuuuukaaa!Angekuibia hela je?Majitu mengine siju yakoje!!! Kuna shida gani kama amejoin leo leo kwa ajili ya kutafuta mume??? Wewe ulitaka ajoin kwa ajili ya kitu gani? Nyie ndo wale ambao mnashinda humu siku nzima hamna kazi ya kufanya sasa ukiona mwenzako amejoin one-time halafu anaenda straight kwenye point unaanza kutoa mimacho hiyooo....aibu yako
Ukweli mtupuAlafu maajabu ya mungu bwana, yaani mtu ukijiwekea ndoto fulani za maisha mfano kama hizi za kuolewa na mtu mwenye wadhifa fulani au mzungu, Basi Mungu ndio anakuweka karibu nao kweli kweli , sasa utashangaa utakacho kiona kwa watu wa aina hiyo,
Unaweza kuona tabia zao sio nzuri , basi kimya kimya unaamua ku switch upange mwingine, huku sasa hutachagua mtu yukoje, bali utajali kupata mtu mwenye upendo tu,
Wengi tumepitia haya matamanio bila kujua nini tunastahili kupata,
Ukubwa raha sana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ubini huo ndo tatzo amchelewikubakiza vikabuli
Haahaasamahani kidogo mim ni mwanaume nurse napata nafas