Ndoto yangu kuwa na mwanaume doctor haijatimia

Devotha mosha

Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
5
Reaction score
5
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia, natafuta mume mcha Mungu hata awe doctor au yeyote. Mimi najihusisha na mambo ya kisheria, mimi ni mchaga mrefu saizi ya kati, umri wangu ni miaka 26 na ni maji ya kunde, ni mkristo na niko seriously.

Kama uko tayari na serious plz inbox me.
 
Hamchelewi kufunua vifungu ili kupata vifungu vya sexual harrassment.
 
Unataka mume dictator awe ana dictate nini kwa mfano au dictator tu
 
Devota Unajiusisha na mambo ya sheria kivip? Ww ni wakili,? Mwanasheria hakimu ,au nan?
 
Niko hapa dokta wa mifugo
 
"....mambo ya kisheria" ndo mambo gani hayo Manka??
 
Nenda Mawodini utawakuta wengi wanapita Round,
 
Reactions: y-n
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…