Kweli ndoto!!
Kama ndoto unazoota ndo kama hizi bado kuna safari ndefu ya kwenda mbele, bola uoteshe miti au papai utakula, acha kujitesa na ndoto za namna Hiyo.
Pia usiwaongopee watu , hamna cha ndoto hapo, kuwa na haya mbele za Mungu
Sent using
Jamii Forums mobile app