Ndoto yangu ya kuja kumuoa Mfalme Zumaridi imefikia tamati jana. Ni huzuni

Ndoto yangu ya kuja kumuoa Mfalme Zumaridi imefikia tamati jana. Ni huzuni

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi.

Kiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani kwa ndani kila nilipokuwa nikiona video za Mfalme Zumaridi na kujikuta nikilihitaji penzi lake tamu. Nikawa nimeweka nia kwamba ipo siku hili suala litatimia kwa kudhani kwamba huyu Baby Zuma atakuwa yuko single kwa jinsi anavyoishi.

Jana baada ya kutoka magereza akiwa anahojiwa ndo akasema yeye ana mume na watoto. Kiufupi ameolewa. Ni mtu pekee anayejiita Mungu huku akiwa kaolewa. Nimesikitika sana ila ndo hali halisi. Lile uno lake ndo ninalilia zaidi. Lakini sijakata tamaa nitapambana kupata mwingine kuliko kujiunga na wanaharakati wa KATAA NDOA.
 
Hapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi.
Aliyekuambia Mfalme huwa anapata hamu ya kilele ni nani!?
 
Ukiwa gest unachakata mbususu ya baby Zuma plz nchi niachie mie walah masaa mawili..
 
[emoji1787][emoji1787] Ko mkuu Kalio na yale mauno yamekuliza sana
 
Back
Top Bottom