BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Bado nafasi ipo tena kama upo Rock city aaaah mbona chap iseni tu hapo unamtimbia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mpenzi wa ndoto zake anaitwa mfalmeMtoa mada anitwa MamaSamia2025
Kama vile nimekuelewa vileMtoa mada anitwa MamaSamia2025
Alishasepa kitambo, now ni Buguku afu ana mabangalow hatareeBado nafasi ipo tena kama upo Rock city aaaah mbona chap iseni tu hapo unamtimbia.
Ujue ungempata angekunasa kote unakochepukaKiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani kwa ndani kila nilipokuwa nikiona video za Mfalme Zumaridi na kujikuta nikilihitaji penzi lake tamu.
Ohoo [emoji2]Alishasepa kitambo, now ni Buguku afu ana mabangalow hataree
Acha upuuzi. Jiheshimu nawe utaheshimiwa.JamiiForums, Maxence Melo, Mhariri , hii ID ya mwenzetu MamaSamia2025 kwa hili bandiko ni kama linamdhalilisha rais wetu. Rais wetu sio msagaji wala hashiriki mapenzi ya jinsia moja.
Iachie team ya JF ifanye kazi yakeAcha upuuzi. Jiheshimu nawe utaheshimiwa.
Wewe ni mpuuzi. Na huna akili kabisa.Iachie team ya JF ifanye kazi yake
umeuliza ameolewa na nani?Hapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi.
Kiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani kwa ndani kila nilipokuwa nikiona video za Mfalme Zumaridi na kujikuta nikilihitaji penzi lake tamu. Nikawa nimeweka nia kwamba ipo siku hili suala litatimia kwa kudhani kwamba huyu Baby Zuma atakuwa yuko single kwa jinsi anavyoishi.
Jana baada ya kutoka magereza akiwa anahojiwa ndo akasema yeye ana mume na watoto. Kiufupi ameolewa. Ni mtu pekee anayejiita Mungu huku akiwa kaolewa. Nimesikitika sana ila ndo hali halisi. Lile uno lake ndo ninalilia zaidi. Lakini sijakata tamaa nitapambana kupata mwingine kuliko kujiunga na wanaharakati wa KATAA NDOA.
Hapanaumeuliza ameolewa na nani?
ungeuliza maana mungu kuwa na mume si jambo dogoHapana
weka kwanza uno lake hapa.Hapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi.
Kiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani kwa ndani kila nilipokuwa nikiona video za Mfalme Zumaridi na kujikuta nikilihitaji penzi lake tamu. Nikawa nimeweka nia kwamba ipo siku hili suala litatimia kwa kudhani kwamba huyu Baby Zuma atakuwa yuko single kwa jinsi anavyoishi.
Jana baada ya kutoka magereza akiwa anahojiwa ndo akasema yeye ana mume na watoto. Kiufupi ameolewa. Ni mtu pekee anayejiita Mungu huku akiwa kaolewa. Nimesikitika sana ila ndo hali halisi. Lile uno lake ndo ninalilia zaidi. Lakini sijakata tamaa nitapambana kupata mwingine kuliko kujiunga na wanaharakati wa KATAA NDOA.
HAHA HAHA wewe mwanaume rijali mwenye akili, unawezaje kujiita mama? Au hicho kiungo ni chombo cha starehe cha mashababi?Wewe ni mpuuzi. Na huna akili kabisa.
Wewe ni mtu mwenye roho mbaya na wivu huku ukiwa huna akili kabisa. Watu maskini wa akili na mali huwa mnawaza ngono muda wote. Comment yako ni ushahidi usiotia shaka.HAHA HAHA wewe mwanaume rijali mwenye akili, unawezaje kujiita mama? Au hicho kiungo ni chombo cha starehe cha mashababi?
Hebu weka picha ya hilo uno lake kwanza ili tukupe ushauri vizuriHapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi.
Kiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani kwa ndani kila nilipokuwa nikiona video za Mfalme Zumaridi na kujikuta nikilihitaji penzi lake tamu. Nikawa nimeweka nia kwamba ipo siku hili suala litatimia kwa kudhani kwamba huyu Baby Zuma atakuwa yuko single kwa jinsi anavyoishi.
Jana baada ya kutoka magereza akiwa anahojiwa ndo akasema yeye ana mume na watoto. Kiufupi ameolewa. Ni mtu pekee anayejiita Mungu huku akiwa kaolewa. Nimesikitika sana ila ndo hali halisi. Lile uno lake ndo ninalilia zaidi. Lakini sijakata tamaa nitapambana kupata mwingine kuliko kujiunga na wanaharakati wa KATAA NDOA.
Uno la bebi zumaUno la zumaridiiiii limekulazaaaa chaliiiiiiii
Baby zuma kumbe ana mambo makubwa, mwamba anazimia uno lakeUSHUHUDA WA MAMA KANUMBA ALIYOONA KWA MFALME ZUMARIDI "MANDONDOCHA NA MISUKULE WAMEJAA"