HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Usikaze fuvuPorojo tu.
Hakuna kitachoendelea hapo zaidi ya mipasho na ngonjera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikaze fuvuPorojo tu.
Hakuna kitachoendelea hapo zaidi ya mipasho na ngonjera.
Bandari ni muhimu, kama una mtoto jiongezePesa za kuajiri hata walimu tu ni mtihani hadi elimu ya watoto imebaki kituko, kazi kutafuta miradi ya kuwapa ten percent utafikiri nchi ina tatizo critical la bandari.
Unajengwa ma TPAKwa hiyo Ina maana Jiwe alikuwa mtu wa fix siyo kwamba hata CHIZI hawezi kukubali mradi kwamba masharti ya mwekezaji ni ya hovyo ajabu.
Inakaribia malizika ila yule mkandarasi hafaiAcha ujinga wewe,BRT ya mbagala hakuna kinachoendelea?
Basi, wenye akili tumeelewa. Baadae TPA itaingia makubaliano na wachina ambao nao wata subcontract waOmani. YaleyaleHabari ndugu Wadau..
Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..
Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.
Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.
Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.
Hao ndio watanzania sasa kwa asilimia kubwa bila ya mkwaju hapo hakuna kitachobadilika.
Na wewe kwa akili yako ulikua unaamini kweli ni fedha za ndani zinatumika?Habari ndugu Wadau..
Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..
Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.
Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.
Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.
Au ule mkataba na wachina ndio utatekelezwa. Mana sijasikia lolote kuhusu muafaka wake.Naomba kukua imetengewa sh ngapi
Si wakati ule ulikuwa unashangilia huo upuuzi?ghafla umegeuka,chawa kaziniNi bora tujenge wenyewe. Kama tuliweza SGR, hata hii tunaweza.siungi mkono kabisa kuwapa wachina
Watu wa ccm hawachelewi kuweka 100 % chap,wezi kabisaLile la mwekezaji ambaye angehodhi ardhi yetu kwa masharti ya kiwendawazimu ndio tulilikataa chini ya jpm. Kama tunajenga wenyewe itakua ndio mradi mkubwa wa mama wa kwanza bila shaka. Tutatumia hela za ndani na nje za kukopa bila shaka. Kuna wale wanajidai wachumi eti miradi mikubwa ya jpm ni white elepants. Sasa waseme tena ujenzi wa bagamoyo kutumia TPA itakua white elephant.
Kwenye miradi mikubwa mama awe makini kwani gharama inaweza kuwekwa kubwa kwa ufisadi watu wakiweka cha juu
Itajengwa pale kilipokuwa chuo cha uvuvi Mbeganihivi hiyo bandari inajengwa bagamoyo sehemu gani
Habari ndugu Wadau..
Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..
Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.
Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.
Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.
Nashangalia nini? Wachina walikua na masharti ya hovyo ni mwendawazimu tu ndio angekubali. Magufuli hakukataa bandari bali alikataa masharti ya mwekezaji huyo mchina.Si wakati ule ulikuwa unashangilia huo upuuzi?ghafla umegeuka,chawa kazini
Pazuri kuwa Bandari:Why bagamoyo?
Unapeleka tatizo kusikokuwa na tatizo.Tuwakatae Wachina
Habari ndugu Wadau..
Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..
Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.
Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.
Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.