Ndoto yatimia: Serikali kupitia TPA kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanzia mwaka huu wa 2023/24

Ndoto yatimia: Serikali kupitia TPA kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanzia mwaka huu wa 2023/24

Habari ndugu Wadau..

Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..

Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.

Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.

Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.

Uzeni kila kitu tuone kama mtaishi navyo milele,mbwa koko nyie
 
Kwann tuferi
Tukiamua tunaweza
Mm nataka serikali ionyeshe inaweza
Na itawezekana
Kama alovyoonyesha magufuri anaweza
Leo hii reli ya standard gauge tunaenda kuimaliza
Bwawa tunaenda kulimaliza

Usione lile bwawa mabeberu kulipigia kelele sijui tutaharibu mazingira maneno kobao
7bu mojawapo na kuu hasa hawakufaidika
Ingekuwa tumeingia UBIA na kampuni la kimarekani au ulaya wakatengeneza kisha waliendeshe bwawa miaka 50 kurudisha pesa ndio watuachie likiwa na cracks kibao
Usingeona KELELE zozote
Beberu/mchina akupi msaada bure msaada akikupa leo utaanza kuulipia wewe na atakuja kuulipia mpk MJUKUU wako

MAGUFURI alivyowakataa WACHINA kwa mashart yao ya KIWAKI usidhani alikuwa mjinga aliona mbali
Hapo umewezaje sa mzee, hiyo miradi umeitaja yote ni pesa za mikopo na sio hera za ndani km alivokuwa akiwadanganya jiwe
 
Najua inawauma sana kuona mradi anautekeleza mama. Umeona utafute namna ya kuonyesha mradi huu bila JPM usingefanyika?? Pole sana, mradi ulikua ushapangwa kwenye mpango wa taifa whether kwa ubia au pesa za ndani ungefanyika tu.

Tatizo lenu mlidhani miradi haiwezi kufanywa na mtu mwingine asiyeitwa JPM...... 🤣🤣🤣.
Umeanza kuwa mjinga?


Nilichoandika kinalingana na ulichochangia hapa?
 
Umeanza kuwa mjinga?


Nilichoandika kinalingana na ulichochangia hapa?
Sasa unayejiona mwerevu huyo JPM anaingiaje hapa? Mradi wa Bagamoyo ulishapangwa kufanyika ugomvi ulikua pesa Gani itumike so sio kwamba JPM alizuia mradi Bali financing na hata Samia alikataa ule mkataba Sasa sielewi why JPM ndio unampa credit.

Acheni ushamba wa kudhani JPM ndio anaweza Kila kitu, hata Jk licha ya ufisadi ndio kajenga airport mpya, kaweka Barabara nchi nzima, kajenga Bomba la gesi, kajenga mwendokasi n.k

Kama inawauma sana mkamfufue au mzikwe naye. We are tired of this nonsense
 
Kwann tuferi
Tukiamua tunaweza
Mm nataka serikali ionyeshe inaweza
Na itawezekana
Kama alovyoonyesha magufuri anaweza
Leo hii reli ya standard gauge tunaenda kuimaliza
Bwawa tunaenda kulimaliza

Usione lile bwawa mabeberu kulipigia kelele sijui tutaharibu mazingira maneno kobao
7bu mojawapo na kuu hasa hawakufaidika
Ingekuwa tumeingia UBIA na kampuni la kimarekani au ulaya wakatengeneza kisha waliendeshe bwawa miaka 50 kurudisha pesa ndio watuachie likiwa na cracks kibao
Usingeona KELELE zozote
Beberu/mchina akupi msaada bure msaada akikupa leo utaanza kuulipia wewe na atakuja kuulipia mpk MJUKUU wako

MAGUFURI alivyowakataa WACHINA kwa mashart yao ya KIWAKI usidhani alikuwa mjinga aliona mbali
Tulikopa
 
Sijaona chochote cha kunishawishi kwamba wewe unaelewa lolote kuhusu uchumi.
Unachofanya ni kuimba tu nyimbo kama kasuku za hao wakoloni wapya wanaotafuta njia mpya za kuendelea kuitawala dunia kiuchumi.

Ulikwenda shule kukariri tu, unayoambiwa, bila kujiongeza kwa lolote!
Huwezi muelewa Mchumi Kwa akili za historia au kukariri matrix
[/QUOTE]
Hilo neno 'matrix', naona ni msamiati mpya uliouokota hivi karibuni, au siyo?

Kwa hiyo, kulitumia unajisikia vizuri sana uonekane nawe uko-'update' sana.
 
Sasa unayejiona mwerevu huyo JPM anaingiaje hapa? Mradi wa Bagamoyo ulishapangwa kufanyika ugomvi ulikua pesa Gani itumike so sio kwamba JPM alizuia mradi Bali financing na hata Samia alikataa ule mkataba Sasa sielewi why JPM ndio unampa credit.

Acheni ushamba wa kudhani JPM ndio anaweza Kila kitu, hata Jk licha ya ufisadi ndio kajenga airport mpya, kaweka Barabara nchi nzima, kajenga Bomba la gesi, kajenga mwendokasi n.k

Kama inawauma sana mkamfufue au mzikwe naye. We are tired of this nonsense
Una wivu wa kijinga!
 
Habari ndugu Wadau..

Baada ya siasa na saga nyingi ,hatimaye Serikali ya awamu ya 6 imesema itaanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mwaka huu wa Fedha wa 2023/24 ambapo ujenzi wake utasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA..

Ile ndoto Sasa inaenda kuwa kweli ambapo Tanzania itapata Bandari kubwa kabisa Kwa Ajili ya kukuza Uchumi.

Ushauri wangu napenda,chonde chinde Serikali itafute mbia wa kujenga nae sio kama pale awali kwamba Kila kitu kifanywe na pesa za ndani, ni hatari Kwa Uchumi Wetu tusije kurudi kule kule Kwa Jiwenomics.

Hongera sana SSH na Serikali Kwa Ujumla.


hiki kitu ni cha muhimu sana. jiwe tu ndo alikichukua akaona bora kajenge uwanja wa ndege wa bilioni 40 ambao haudondoki ndege yeyote.
 
Wadau naombeni kujuzwa, kule kitu kishaanza maeneo ya Zinga. Ndo maana utaona wajanja, wenye mihela washaanza kusafisha maeneo ili wajenge viwanda
 
Back
Top Bottom