Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Yaani unyimwe hadhi ya mkoa wakupe hadhi halmashauri ya mji?
Ee inawezekana maana vigezo vya mji sio vigumu sana kama vya mkoa,mkoa ina bidi uombe wilaya jiran na mikoa jiran,wakigoma ndo kama ivyo chato wamegomewa na kagera,ila mji ni wewe na tamisemitu kama umekizi vigezo vyao wanakupa.
 
Toka lini hospital ikakosa msaada??
 
Mbona uwahurumii wa mkoa wa morogoro na Tabora, waache wa biharamulo walalamike wenyewe sio wewe wa chato kuwasemea.
 
HAmia karibu na huduma unaishi huko maporini unekuwa nyani.
 
Haujui kitu wewe hata wangetembelea baiskeli bado umaskini ungekuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…