Ndoto za kuishi Tanga mjini

Ndoto za kuishi Tanga mjini

BABU KIDUDE

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
1,587
Reaction score
916
Mambo vipi Wana Jamii...... back to the Point, mimi nishapita umri wa ujana. nipo jiji hapa, nimetembea tembea sana

Mambo vipi? Wana Jamii. back to the Point, mimi nishapita umri wa ujana. nipo jiji hapa, nimetembea tembea sana Mbeya, Arusha Moshi Dodoma Mwanza na Tanga PLUS Unguja na Pemba kikazi, katika kutembea kwangu mikoa tajwa nimevutiwa sana kuishi jiji la Tanga kwa kweli ni kamji flani kametulia.

Ni mwajiliwa kwenye kampuni flani binafsi na hatuna Branchi mkoa tajwa nimewaomba sana maboss tufungue branch nikimendea uongozi kwenye brach husika bila mafanikio but bado nina ndoto ya kuamishia maisha yangu mkoa huo, Msaada biashara gani nikifugua mkoa huu na wilaya zake 6 itaniwezesha kuishi na kutimiza ndoto zangu za Kuishi mkoa huo , wife wangu mtu Moro hana tabu Tushakubaliana Tuamie huko yeye ni mfanyakzai wa serikali najua tweza pata uamisho japo kwa mbinde sana.

Naomba ushauri pia kuhusu Jiji lenyewe na changamoto zake.

Mimi Mmatengo Japo nimezaliwa hapa nimekulia japo niliwa kutoka nje ya mkoa kimasomo Tuu
 
Tanga fursa zipo wilayani mfano matunda muheza ,lushoto

Kwa town nakushauri nguo za kike maana wanawake wa tanga kuvaa utawexa kufilisika ukiwa na mademu wa kidogo wengi wanapenda sijui ndo vijora, ukiwa mbunifu umeula maana hapo izo nguo zinatoka mombasa sana sana
Kingine hata duka la jumla we tumia uvivi wa wenyeji kuangalia fursa nyingi
 
Tanga fursa zipo wilayani mfano matunda muheza ,lushoto

Kwa town nakushauri nguo za kike maana wanawake wa tanga kuvaa utawexa kufilisika ukiwa na mademu wa kidogo wengi wanapenda sijui ndo vijora, ukiwa mbunifu umeula maana hapo izo nguo zinatoka mombasa sana sana
Kingine hata duka la jumla we tumia uvivi wa wenyeji kuangalia fursa nyingi
Tanga biashara ngumu sana mji hauna pesa nimeishi Tanga kidogo ila mji wa kistaarabu na tulivu tatizo uchumi mzunguko mdogo sana
 
Tanga biashara ngumu sana mji hauna pesa nimeishi Tanga kidogo ila mji wa kistaarabu na tulivu tatizo uchumi mzunguko mdogo sana
Hauna hela ww mtaji wako wakuunga unga . Biashara za tanga zataka mtaji mkubwa
 
Tanga Pazuri! 🔥🔥🔥 Barabara ya 19!! I miss that place a lot! Weekend ni mambo ya Baikoko!!
 
Tanga fursa zipo wilayani mfano matunda muheza ,lushoto

Kwa town nakushauri nguo za kike maana wanawake wa tanga kuvaa utawexa kufilisika ukiwa na mademu wa kidogo wengi wanapenda sijui ndo vijora, ukiwa mbunifu umeula maana hapo izo nguo zinatoka mombasa sana sana
Kingine hata duka la jumla we tumia uvivi wa wenyeji kuangalia fursa nyingi
Jenga Gest
 
Viwanja vizuri vya kuvinjari Muheza....misosi baa kali kiota kikali bei poa mamusese ...mwenye kujuwa atiririkeeee
 
Back
Top Bottom