Ndoto zangu za kujiunga JF zimetia

Ndoto zangu za kujiunga JF zimetia

Kwani umewaza nini....!!??[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Bro jiheshimu bac..!Mbona we mtu mzima kabisa tunajifunza nini sasa kutoka kwako?!ikute una familia kabisa?!kosa langu nn kuomba kuelekezwa Ivo vitu kwenye thread au??Kama hutaki kunielezea ungekausha wakanielezea wengine ndo maana nimewataja wengi kina Mama sabrina,Mahondow,joka jeusi wangenielekeza sheria za humu
 
Kwanini mnakuaga wanafki kujidai ndio mmejiunga JF kumbe ni kubadili ID tu?

Kama ulitoswa na manzi humu ni kawaida tu endelea na ID ya zamani tu au fungua mpya kimya kimya sio unaleta mbwembwe zinazofanya wenye akili wakushtukie kuwa sio member mpya
 
Bro jiheshimu bac..!Mbona we mtu mzima kabisa tunajifunza nini sasa kutoka kwako?!ikute una familia kabisa?!kosa langu nn kuomba kuelekezwa Ivo vitu kwenye thread au??Kama hutaki kunielezea ungekausha wakanielezea wengine ndo maana nimewataja wengi kina Mama sabrina,Mahondow,joka jeusi wangenielekeza sheria za humu
Mbona ninaiheshimu sana chief...!!
Ama kwani weumeona nini mkuu wangu..??
Na kama kujifunza kwangu, nivyema ukakaa ukayachukua mengi mazuri na kisha ukayaacha machache mabaya.
 
Mbona ninaiheshimu sana chief...!!
Ama kwani weumeona nini mkuu wangu..??
Na kama kujifunza kwangu, nivyema ukakaa ukayachukua mengi mazuri na kisha ukayaacha machache mabaya.
Sawa Aikwereki
 
Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
mimi hutaki nikusaidie?.
 
Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
usituzuge mzee baba wewe ni zee la jf miaka hilo linajionyesha wazi
 
Back
Top Bottom