princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
- Thread starter
- #21
Mungu amsamehe bure Uyu Chalii aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amsamehe bure Uyu Chalii aisee
Dah Chaliangu Mungu akusameheMkuu, huyo kijana anadhani mimi ni wale eehhhh...
Siwezi kutenda hiyo dhambi aiseeeeee, maana wadada wamejaa tele...tehteehh
Bro jiheshimu bac..!Mbona we mtu mzima kabisa tunajifunza nini sasa kutoka kwako?!ikute una familia kabisa?!kosa langu nn kuomba kuelekezwa Ivo vitu kwenye thread au??Kama hutaki kunielezea ungekausha wakanielezea wengine ndo maana nimewataja wengi kina Mama sabrina,Mahondow,joka jeusi wangenielekeza sheria za humuKwani umewaza nini....!!??[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwa lipi kwani...!!??Dah Chaliangu Mungu akusamehe
Mbona ninaiheshimu sana chief...!!Bro jiheshimu bac..!Mbona we mtu mzima kabisa tunajifunza nini sasa kutoka kwako?!ikute una familia kabisa?!kosa langu nn kuomba kuelekezwa Ivo vitu kwenye thread au??Kama hutaki kunielezea ungekausha wakanielezea wengine ndo maana nimewataja wengi kina Mama sabrina,Mahondow,joka jeusi wangenielekeza sheria za humu
Sawa bro lakin bado niko shuleFanya haraka uoe. Huo ndiyo ushauri wangu
Hujakosea mkuu ni mwenyeji,lakin nilikua mpenzi mtazamaji tu ndo nimeamua Kufungua acount kabisa ili niweze kuchangia namm panapo hitajikaMkuu we mwenyeji kabisa humu
Sawa AikwerekiMbona ninaiheshimu sana chief...!!
Ama kwani weumeona nini mkuu wangu..??
Na kama kujifunza kwangu, nivyema ukakaa ukayachukua mengi mazuri na kisha ukayaacha machache mabaya.
mimi hutaki nikusaidie?.Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
usituzuge mzee baba wewe ni zee la jf miaka hilo linajionyesha waziShikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
Body mpya injini ya zamani
Mazoezi ya kukwoti umefanyia wapi ndugu mgeni?Sawa Aikwereki
Sawa bro lakin bado niko shule