Ndoto zangu za kujiunga JF zimetia

Ndoto zangu za kujiunga JF zimetia

Ina maana hakuna kabisa Raia mwema yeyote wa kujitolea kunielezea nini maana ya izo PM,Avatar,Moderator,??
 
PM... Private Message... ni wewe na yeye tu mnakutana huko na kuongea yenu pasipo kuonekana hadharani, ingawa mnaweza alika hata watu wengine kwenye maongezi yenu...

Avator... ni kikaragosi au picha inaweza kua ya kitu chochote kukuwakilisha au kukutambulsha...

Moderator... mtu anayeratibu na kusimamia shughuli zote za mahali hapo...


Cc: mahondaw
 
Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
Jipu hili sio bure
 
Njoo PM nikuelekeze achana na wachoyo hao.
Mkuu iyo PM ndo nataka Fasili yake,lakn unasema nije PM!ntakujaje sasa akati sielewi ?isiwe tabu sio lazima but nashukuruni sana kwa ukaribisho wenu ingawa challenges pia hazikwepeki
 
Karibu sana mdogo wangu, kila kitu kitaenda sawa. Pamoja na yote ukifahamu huduma muhimu zinakopatikana,

Kama vile....
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PM... Private Message... ni wewe na yeye tu mnakutana huko na kuongea yenu pasipo kuonekana hadharani, ingawa mnaweza alika hata watu wengine kwenye maongezi yenu...

Avator... ni kikaragosi au picha inaweza kua ya kitu chochote kukuwakilisha au kukutambulsha...

Moderator... mtu anayeratibu na kusimamia shughuli zote za mahali hapo...


Cc: mahondaw
Shukrani sana Mkuu ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri,,Kule Facebook vitu kama hivi havipo ndomaana nikaomba kujuzwa,,Naam kwenye coment yako Mwishoni umeandika "Cc"then uka mention jina la Member wa humu Mahondaw maana ake nn pia?
 
Karibu sana mdogo wangu, kila kitu kitaenda sawa. Pamoja na yote ukifahamu huduma muhimu zinakopatikana,

Kama vile....
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402


Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana kiongozi
 
Hivi nyie wenye ukuu wenu humu,...kwanini kila mgeni akija badala ya kumkaribisha mmeng'ang'ana na hiyo hoja ya umekuja na I'd nyingine mara unaonekana mzoefu,ooh umejuaje kuquote mara sijui nini khaa!!!

Wengine tumekuwa watazamaji tangu zamani tumeshasoma mada nyingi.kwahiyo msishangae mtu kuwataja hao alowataja au kuwakwoti inategemea na uelewa wa mtu.all in all karibu japo me mwenyewe bado mgeni tu.
 
Hivi nyie wenye ukuu wenu humu,...kwanini kila mgeni akija badala ya kumkaribisha mmeng'ang'ana na hiyo hoja ya umekuja na I'd nyingine mara unaonekana mzoefu,ooh umejuaje kuquote mara sijui nini khaa!!!

Wengine tumekuwa watazamaji tangu zamani tumeshasoma mada nyingi.kwahiyo msishangae mtu kuwataja hao alowataja au kuwakwoti inategemea na uelewa wa mtu.all in all karibu japo me mwenyewe bado mgeni tu.
Asante sana mkuu,,Boral umesema wewe mkuu,umu watu wameshajenga fikra kwamba kila member mpya sio mpya ila kabadilisha tu ID,
 
Kwanini mnakuaga wanafki kujidai ndio mmejiunga JF kumbe ni kubadili ID tu?

Kama ulitoswa na manzi humu ni kawaida tu endelea na ID ya zamani tu au fungua mpya kimya kimya sio unaleta mbwembwe zinazofanya wenye akili wakushtukie kuwa sio member mpya

Mkuu huyo dogo ni mgeni JF nina uhakika %mia
 
Is there any costful to be a mamber in JF?
IS this real succes one among succesful in a life?
ngoja nikuache ila hongera kwa mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app


(Costful ,succes, succsesful, mamber) angalia makosa yako--- dogo wewe unajitahidi katika lugha ya kiingereza, lakini bado unatakiwa uongeze bidii zaidi ndipo ulete "posts" zako humu kwa kiingereza. Soma "grammar" zaidi.
 
Back
Top Bottom