Ndugai akikataa kujiuzulu CCM mtamfanya nini?

Ndugai akikataa kujiuzulu CCM mtamfanya nini?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lakini sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, atapambana.

Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, ana nguvu huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Tunasubiri Kwa hamu.
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Kitajulikana tu subiri muda wetu ufike, lazima atoke
 
2754471_JamiiForums-1361292337.gif



Acha nigonge zangu kahawa na wahenga wenzangu wakati tunaangalia hili mbungi na kabaridi haka
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Ndugai hana kinga yoyote mbele ya CCM
 
Ajiuzulu kwa kosa gani?
Swali hilo ndilo nimewauliza UVCCM.

"Kuomba kwake radhi bado hakuondoi nia yake ovu wakati anatoa kauli zake, radhi imetoka ili kuwapoza waliochukizwa naye,

Ndg. Ndugai amepoteza uhalali (Legitimacy) kuendelea kuwa Spika wa Bunge letu, awajibike kwa kujiuzulu" Omega Thobias, Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Well umeuliza kosa lake ni lipi:- Kosa lala baba yako Ndugai mwenyewe analifahamu ndio mana haikutimia saa 24 aliomba radhi kwa herufi kubwa zaidi.,

Ndugai ni mjumbe wa kamati kuu lakini ni spika kwa vyovyote yeye ni mkubwa katika nchi hii alipaswa japo kwa dakika moja kufikiria kupeleka maoni yake huko kwenye kamati lakini pale bungeni ambapo yeye ni boss lakini kama haitosh Nape aliibua hili jambo bungeni hivi juzi kwanini hakukazia nati? ameenda kusemea kule maeneo ya gerej?? lakini hata kama angempigia rais anashida naye wakutane huko Ikulu wao kwao ingemugharimu kitu gani? ni vile mtu mbaya amepazwa tu., lakini kwanini ndugai kwenye yale maneno aligusia mama kuhusu uchaguzi 2025 alikuwa na ajenda gani hasa??
 
Akijiuzulu itakuwa mbaya sana, itawalazimu wananchi wote kutoa maoni yanayomfurahisha rais.
 
Well umeuliza kosa lake ni lipi:- kosa lala baba yako ndugai mywenyew analifahamu ndio mana haikutimia saa 24 aliomba radhi kwa herufi kubwa zaidi.,

Ndugai ni mjumbe wa kamati kuu lakini ni spika kwa vyovyote yeye ni mkubwa katika nchi hii alipaswa japo kwa dakika moja kufikiria kupeleka maoni yake huko kwenye kamati lakini pale bungeni ambapo yeye ni boss lakini kama haitosh Nape aliibua hili jambo bungeni hivi juzi kwanini hakukazia nati? ameenda kusemea kule maeneo ya gerej?? lakini hata kama angempigia rais anashida naye wakutane huko Ikulu wao kwao ingemugharimu kitu gani? ni vile mtu mbaya amepazwa tu., lakini kwanini ndugai kwenye yale maneno aligusia mama kuhusu uchaguzi 2025 alikuwa na ajenda gani hasa??
Tunasikia aliomba radhi kwa kushinikizwa hakuwa tayari kuomba radhi ndio maana radhi yake ilikataliwa.
 
Atafanywa kama alichofanyiwa Mzee Philiph Mangula.
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
ndugai aiche milion 11 hivihivi? labda kama sio yeye. Kwa ndugai mtasubiri sana, la sivyo atawacharaza viboko.
 
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?

Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
ndugai aiche milion 11 hivihivi? labda kama sio yeye. Kwa ndugai mtasubiri sana, la sivyo atawacharaza viboko.
 
Back
Top Bottom