auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
kwani ni spika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Li Ndugai kama ana akili timamu atakuwa anajiuliza jee ubaya una faida? Wale aliokuwa anawabenza, anawanyanyasa na kuwatweza hadi akawafukuza kazi kwa kejeli wakiwa wanatibiwa ndio wanao mtetea, kumpigania na kumtia nguvu.Ndugai hana kinga yoyote mbele ya CCM
Ndugai analaanaLi Ndugai kama ana akili timamu atakuwa anajiuliza jee ubaya una faida? Wale aliokuwa anawabenza, anawanyanyasa na kuwatweza hadi akawafukuza kazi kwa kejeli wakiwa wanatibiwa ndio wanao mtetea, kumpigania na kumtia nguvu.
Hili fundisho baada ya muda aje aulizwe limemuingia?
Ajiuzulu kwa kosa gani?
Kuongea ukweli ni kosa?Kwakosa hili!!
Hata Ndugai akijiuzulu leo ujumbe wake utawatesa hadi 2025Swali hilo ndilo nimewauliza UVCCM.
"Kuomba kwake radhi bado hakuondoi nia yake ovu wakati anatoa kauli zake, radhi imetoka ili kuwapoza waliochukizwa naye,
Ndg. Ndugai amepoteza uhalali (Legitimacy) kuendelea kuwa Spika wa Bunge letu, awajibike kwa kujiuzulu" Omega Thobias, Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa
Ndio sioni..Najua huwezi ona , kwakuwa ukoo wenu mmoja.
Peace of mind huwa inakosekana kwa watu wengi !!!Amekuwa mbunge kwa miaka 20, bado hajatosheka tu?
Kuongea ukweli ni kosa?
Kiti kimemwelemeaNdio sioni..
Hebu nioneshe kosa la Ndugai
Kimemuelemeaje?Kiti kimemwelemea
Najua unajua na huhitaji kuambiwa, vinginevyo umekuwa mwimba pambio mkongwe usiyejua hata kwanini unaimba mapambio.Kimemuelemeaje?
Namsema Spika wa bunge la JMTKwani wewe chama gani. Wanasema ya kaisari mwachie kaisari. Nyie watu wote mnaotetea vyama vyenu kuliko utu inabidi mpambane wenyewe mana ndo mwelekeo wenu. Lumumba kwao na ufipa kwao. Ndo navyoona msisitizo mtu akichangia mada.
Mbona mlimshindwa Andrew Chenge?Kitajulikana tu subiri muda wetu ufike,lazima atoke
Watachukua kadi yaoNimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?
Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Kati ya mimi na wewe nani anaimba mapambio?Najua unajua na huhitaji kuambiwa, vinginevyo umekuwa mwimba pambio mkongwe usiyejua hata kwanini unaimba mapambio.