Kushinikizwa pia unaweza kukataa ukabaki na msimamo wako ni vile ndugai kumbe ni mwepesi sana kichwani amesema yale akiwa hajajiandaa., a big looser, pengine ndio malipo ya miongoni mwa dhuluma alizokuwa akizisimamia wacha yamkuteTunasikia aliomba radhi kwa kushinikizwa hakuwa tayari kuomba radhi ndio maana radhi yake ilikataliwa.
Muda wenu ni lini?Kitajulikana tu subiri muda wetu ufike,lazima atoke
Sasa sasaMuda wenu ni lini?
Amekuwa mbunge kwa miaka 20, bado hajatosheka tu?ndugai aiche milion 11 hivihivi? labda kama sio yeye. Kwa ndugai mtasubiri sana, la sivyo atawacharaza viboko.
Najua huwezi ona , kwakuwa ukoo wenu mmoja.Ajiuzulu kwa kosa gani?
Kwanini ajiuzulu? Amefanya kosa gani? Kosa lake ameshindwa kitetea hoja yake kuwa huwezi kukopa kwa ajili ya consumables na ukatamba kuwa umefanya jambo la maana. Unakopa ili ufanye kitu ambacho kwacho kitaleta faida siku za usoni ili faida ikalipie deni.Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?
Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Kujitoa ufahamu ni sawa na kufumba macho ukadhani umejificha.Hiyo ndio Nini,? Vuvuzela, kipenga au? 🏃
Kujitoa ufahamu ni sawa na kufumba macho ukadhani umejificha.Hiyo ndio Nini,? Vuvuzela, kipenga au? 🏃
Atajua hajui🤔.Ndugai hana kinga yoyote mbele ya CCM
Kweli huwezi kukopa ili ujenge choo cha shule.Kwanini ajiuzulu? Amefanya kosa gani? Kosa lake ameshindwa kitetea hoja yake kuwa huwezi kukopa kwa ajili ya consumables na ukatamba kuwa umefanya jambo la maana. Unakopa ili ufanye kitu ambacho kwacho kitaleta faida siku za usoni ili faida ikalipie deni.
SureAtajua hajui🤔.
,🧓👇Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?
Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Ni upuuzi mtupu! Ati tunakopa kununua barakoa, na kodi si ndiyo ya kujenga vyoo na madarasa? Hivi ukitafuta matenti watoto hawawezi kusoma kama huna hela? Tusibabaishane mkopo huu ungalikuwa ni wa bwawa la umeme au SGR Sawa au kujenga barabara ya lami ya kimkakati inayounganisha Tanzania na nchi jirani ili tupate foreign currency sawaKweli huwezi kukopa ili ujenge choo cha shule.
Hivi Ndugai asipojiuzulu wabunge kama hawa wataficha wapi nyuso zao.
Hana la kuwafanyaHivi Ndugai asipojiuzulu wabunge kama hawa wataficha wapi nyuso zao.
Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?
Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Tunamnyanganya kadi yetu halafu tunamsindikiza kijijini mwake na kumuwekea ulinzi wa kutosha ,maisha yake yote atatakiwa kuishi hapo,Kila asubuhi atatakiwa kusign attendance book kwa mwenyekiti wa Kijiji bila kukosa.Nimewasikia UVCCM wengi wakishinikiza Spika ajiuzulu lkn sioni hoja nzito wanatoa kumfanya kiongozi wa Muhimili ajiuzulu zaidi ya kusema amepingana na Rais ambaye ni Mwenyekiti wake. Kosa lake hasa ni lipi, kuisimamia serikali?
Spika wa Bunge ana kinga ya kutoshitakiwa popote sheria mliyoipitisha wenyewe bungeni. Spika ana wabunge wengi nyuma yake (Sukuma Gang + wabunge wa JPM) kwahiyo itakuwa ngumu kupeleka hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Mkimvua uanachama maana yake manawagawa wanachama mkumbuke Spika ni kiongozi wa muhimili mmoja kati ya mitatu ni namba 2 kama sio 3 kwa nguvu nchini, huwezi kumvua uanachama kama mlivyomvua Membe ikaishia hapo, Atapambana. Je, asipojiuzulu mtamfanya nini, mna plan B?
Kwamba malipo ni hapa hapa duniani?Yupo Dodoma eeh?
Tutampiga risasi.