Ndugai akikataa kujiuzulu CCM mtamfanya nini?

Ndugai hana kinga yoyote mbele ya CCM
Li Ndugai kama ana akili timamu atakuwa anajiuliza jee ubaya una faida? Wale aliokuwa anawabenza, anawanyanyasa na kuwatweza hadi akawafukuza kazi kwa kejeli wakiwa wanatibiwa ndio wanao mtetea, kumpigania na kumtia nguvu.
Hili fundisho baada ya muda aje aulizwe limemuingia?
 
Ndugai analaana
 
Simple ni kumteua kuwa balozi Israel ili akatembelee tena Galilaya.
 
Hata Ndugai akijiuzulu leo ujumbe wake utawatesa hadi 2025
 
Kwani wewe chama gani. Wanasema ya kaisari mwachie kaisari. Nyie watu wote mnaotetea vyama vyenu kuliko utu inabidi mpambane wenyewe mana ndo mwelekeo wenu. Lumumba kwao na ufipa kwao. Ndo navyoona msisitizo mtu akichangia mada.
Namsema Spika wa bunge la JMT
 
Watachukua kadi yao
 
Najua unajua na huhitaji kuambiwa, vinginevyo umekuwa mwimba pambio mkongwe usiyejua hata kwanini unaimba mapambio.
Kati ya mimi na wewe nani anaimba mapambio?
 
yeye mbona alimlazimisha prof. Assad ajiuzuru japo prof alikataa, akanyofolewa Kwa uteuzi wa mtu mwingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…