Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Kwa mujibu wa katiba, mtu yeyote anaweza kugombea uspika na kuchaguliwa. Ni kweli anaweza kuvuliwa uanachama na kupoteza ubunge lakini hawezi kupoteza uspika. Vile vile hata ikilazimishwa apoteze uspika anaweza kugombea tena uspika kama raia huru au kudhaminiwa na chama kingine na wabunge kama wanampenda watamchagua tena kuwa spika.
Anajitoa ufahamu huyo hats usibishane naye, anajua nguvu aliyonayo mwenyekiti wa CCM ya kudili na spika ni kubwa sana ila atafanya nini wakati kaahidi kufanya 'damage control' ya spikaAligombea uspika kama mgombea asiye na chama ama mgombea kupitia chama fulani?
Mbona sheria iko wazi kwamba kama aligombea kupitia chama basi uanachama wake ukikoma basi mamlaka aliyonayo nayo yanakoma kama yalipatikana kupitia udhamini wa chama cha siasa.