Ndugai avuliwe U-spika wa Bunge, kutokana na kuikanyaga Katiba ya nchi kwa kung'ang'ania kuwakumbatia wabunge wa viti maalum wa Chadema

Uongozi wote ccm ni wa hovyo mno!
 

Jaji Mkuu anasemaje?
 
“Sisi ni matajiri, tuna pesa za ndani!” Ukweli ni kwamba ‘Mabeberu’ wapya ni mimi na wewe, tutatoa tu pesa!
 
Hiyo hiyo katiba ndio imempa kinga ya kutokushtakiwa popote
 
Naunga mkono hoja! Yaani tukisema hoja hii ipigiwe kura hope inaweza vuna kura za wananchi wote wenye umri wa kupiga kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…