Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hata Kafaya si mlisema hivi hivi,mwisho ikawaje?kuna mtu alitabir huyu dingi atanyooka..naona kmy
Vipi una hela ya kula mchana wa leo DM namba nikutumie angalau 80k uleKwani wagogo wameacha lini kula panya?
Unataka majibu ya ghafla si ungetabiri wewe? Hata kwa Jiwe mlikejeli hatimaye mkajibiwa kwa wakati.kuna mtu alitabir huyu dingi atanyooka..naona kmy
unampangia rais cha kufanya.? Muda wa maombolezo umeisha kitaifa.Rais hawezi kuongeza mshahara mwaka wa majonzi kama huu!! Tumuenzi Magufuli kwa vitendo apeleke fedha zote kwenye Miradi ya maji.
Wote walikuwa wajinga. Mambo ya utani utani wakati wake umepita, ebo!Hahahaaaa..... hata Magufuli alikuwa anawatania sana wagogo!
Huo siyo ujinga wa UFIPA ndugu! Ni wake yeye na Mwendazake, kama una kumbukumbu utakumbuka Shigongo alisema nini kuhusu baba sabufa na wagogo last week!Watani zake hao unataka kuleta ujinga wa UFIPA humu.
Majonzi ni kwako wengine ni mwanzo wa miaka ya neemaRais hawezi kuongeza mshahara mwaka wa majonzi kama huu!! Tumuenzi Magufuli kwa vitendo apeleke fedha zote kwenye Miradi ya maji.
Ni utani tu kama alivyotangulia kusema. Ila ukimsoma between the lines anajaribu kutuma ujumbe serious kwa kutumia utani. Kuna ujinga mwingi unaendelea kwenye sekta isiyo rasmi ya ujenzi wa nyumba za makazi. Ukiachilia aina ya mabati (mi sina shida sana na aina ya mabati, nyumba yangu mwenyewe nimejengea "masufuria" na najenga kajumba kengine nako nitapaulia hayo mabati wanayoita masufuria). Shida niliyo nayo ni hii style ta kunyanyua paa hadi mawinguni. Yaani style hii ya upauaji ni ya kishamba sana na inaharibu kweli kweli shoo ya nyumba na makazi. Hakuna hata sababu zozote za taaluma ya usanifu majengo kuweka paa za dizaini hiyo, ni madaha tu yasiyo na sababu zaidi ya kuongeza gharama.Simpendi job ila huo ni utani kwa watani zake
MLETA HOJA utumie ubongo wako kutoa tafsiri sahihi.Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Uzalendo kwanza mdogo wanguunampangia rais cha kufanya.? Muda wa maombolezo umeisha kitaifa.
Kumuenzi magufuli kusifanye wengine wanyimwe haki zao za kikatiba.
Siku jf imejaza watotoItoshe kusema mleta mada ni boya. Natanguliza samahani.
Kuna tone ya sauti kuashiria utani au vinginevyo. Unatakiwa kuyajua hayo.
Hahahaaaa inaitwa kudonyoa donyoaUtani kwa watani zake ,pia ukweli ukiwemo