Ndugai awaponda wana Mwanza kwa kuezeka nyumba zao na Mabati ya kizamani, Masufuria

Ndugai awaponda wana Mwanza kwa kuezeka nyumba zao na Mabati ya kizamani, Masufuria

Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .


Wewe unatetea nini? Last December nimepita kutoka Arusha mpaka Singida. Kufika Singida, nyumba ziko na mabati ya blue, kijani, kijivu, damu ya mzee nk.
Sasa uchumi wa Singida unauzidi wa Mwanza?
Wasukuma mjiongeze, Mwanza ina rasilimali na vitu vingi kuliko Singida, lkn watu wake wamejitahidi sana. Nyumba zao pale mjini ni shidaa. Utaipenda yani. Hivyo Mwanza hawana sababu ya kujitetea.
😁😀😁
 
Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Kwao mbona bado wanaezeka kwa udongo?
 
Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Watani hao

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Sasa si nafuu hao wa mwanza wanaezeka nyumba zao kwa mabati ya masufuria...kule kongwa sahizi na mvua hizi nyumba nyingi zinavuja ni balaa zimeezekwa kwa nyasi!!
 
Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Kweli ndugai ana makosa yake, ila kwa hili wewe mleta mada nadhani ujamuelewa Ngugai, Kwanza alianza kwa kusema "naomba niwambie watani zangu wa Mwanza" kwaiyo iyo kauli aliitoa Kama ya utani dhidi ya watani zake"
 
Watani zake hao unataka kuleta ujinga wa UFIPA humu.
Haiwezekani wakazi wote wa Mwanza wakawa watani wake. Yeye ni kiongozi wa taifa lenye makabila mengi na ile ilikuwa sherehe ya kitaifa kwa hiyo ujumbe uwe na mantiki kitaifa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haiwezekani wakazi wote wa Mwanza wakawa watani wake. Yeye ni kiongozi wa taifa lenye makabila mengi na ile ilikuwa sherehe ya kitaifa kwa hiyo ujumbe uwe na mantiki kitaifa.
Usicomplicate life utapata stress bure zisizo na kichwa wala miguu yupo eneo la watani zake hapo eeh tumpinge Ndugai kwa kukosea ila sio kwa mambo ya utani ambao upo toka enzi na enzi...
 
Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Kitu usichokijua ni kuwa . Wasukuma ni watani zake
 
Hekima ni kukaa kimya, sio kuongea pumba.

Mungu Fundi sana ametuokoa!
Fika jimboni kwake kongwa uone wananchi wanalala kwenye nyumna za tembe na wanakunywa matope ya maji.
 
Ni utani tu kama alivyotangulia kusema. Ila ukimsoma between the lines anajaribu kutuma ujumbe serious kwa kutumia utani. Kuna ujinga mwingi unaendelea kwenye sekta isiyo rasmi ya ujenzi wa nyumba za makazi. Ukiachilia aina ya mabati (mi sina shida sana na aina ya mabati, nyumba yangu mwenyewe nimejengea "masufuria" na najenga kajumba kengine nako nitapaulia hayo mabati wanayoita masufuria). Shida niliyo nayo ni hii style ta kunyanyua paa hadi mawinguni. Yaani style hii ya upauaji ni ya kishamba sana na inaharibu kweli kweli shoo ya nyumba na makazi. Hakuna hata sababu zozote za taaluma ya usanifu majengo kuweka paa za dizaini hiyo, ni madaha tu yasiyo na sababu zaidi ya kuongeza gharama.
Kumbe masufuria ndo yale mapaa yaliyochomoza kama mapyramid kule upareni kwa watani zangu wapare?[emoji23][emoji23]
 
Ndugai huwa anawatania wasukuma, hata wabunge wasukuma bungeni huwatupia sana vijemba, tatizo sio watu wote wanaopenda utani.
 
Uzi bila picha haunogagi mkuu weka izo picha za hizo nyumba tuoe kisha ndo tutoe maoni
 
Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema

"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".

Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Huyu limbukeni ofisi ya Spika imemzidi kimo tangu mwanzo.

Kusema maneno ya ovyo ni dalili ya kutojua maneno yanayofaa.
 
Back
Top Bottom