Ndugai awaponda wana Mwanza kwa kuezeka nyumba zao na Mabati ya kizamani, Masufuria

Ndugai awaponda wana Mwanza kwa kuezeka nyumba zao na Mabati ya kizamani, Masufuria

Guys, dont take everything too serious, Ndugai ni mgogo na MWanza ni ardhi ya Wasukuma, Wasukuma an Wagogo ni watani tokea enzi nz enzi; Wasukuma wenyewe walijua msemaji au mshauri wa siku hiyo ya May day ni mtani wao wa jadi so hata hawawezi kujali. Wangeamua ku mind wangelinganisha nyumba za Wagogo na Wasukuma wa Mwanza, kwa kipimo chochote haziwezi kulingana, wagogo bado wana nyumba za TEMBE wakati hao wa MWanza ni nyumba za tofari but wameezekea sufuria which my science suria ni aluminium na mabati nayo ni aluminium hiyo hiyo so Wasukuma wana afadhari zaidi kuliko ile full suit ya kwa Wagogo
 
Back
Top Bottom