Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Hakuna tajiri anaweza kuweka mada kama uliyoweka. Nimekuambia hizo mada huandikwa na watu maskini, ndio huwa wana kazi ya kusifia na kuabudu watuukiwa na maana mimi tajiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tajiri anaweza kuweka mada kama uliyoweka. Nimekuambia hizo mada huandikwa na watu maskini, ndio huwa wana kazi ya kusifia na kuabudu watuukiwa na maana mimi tajiri?
Agombei ila mpango wake ni kurithisha jimbo kama wafanyavyo wanasiasa wengi wa Afrika urithisha madarakaLabda useme huyo Hersi anaanza campaign mapema dhidi ya wenzake, pengine nyuma yake yupo huyo-huyo Ndugai maana ana-unazi kwenye ushabiki wa mpira nae.
Vinginevyo Kongwa 2025 ni gombania goli, Ndugai alishasema huu ni muhula wake wa mwisho kabla hata ya sakata la kuvuliwa ubunge, yeye hatogombea tena ubunge 2020 ni mara yake ya mwisho.
Injinia Hersi amesoma elimu ya sekondari Dodoma mjini na kwao ni hapo Dodoma maeneo ya Maili mbili.Ila chuo ndiyo kasoma DIT. Kama ni kweli anagombea Kibaigwa ni sawa tu.Nilipopata tetesi hizi za Rais wa Yanga kuwa mwaka 2025 atakwenda kugombea ubunge Jimbo la Kongwa nilibisha na sababu iliyonifanya nibishe ni sijawai kumuona Enjinia Hersi Said akijiusisha na Siasa kivile, lakini jana ndio nimepata uthibitisho kuwa Rais huyu wa Yanga 2025 atavuta Fomu ya Ubunge Kongwa
Siku ya jana ilikuwa na Siku ya Kuzaliwa Mwenyekiti wa Makampuni ya GSM Gharib Said ambapo alitumia siku hii kusheherekea kwa kutoa misaada ya kijamii kwenye mji mdogo wa kibaingwa hii maana yake ni nini?
Kilichofanyika jana ni akili kubwa katika kuanza kampeni za kulichukua jimbo ilo la kongwa kutoka mikono mwa Spika mtaafu Na Mbunge anamaliza Muda wake Job Ndugai, ambae yeye binafsi alitangaza kuachana na ubunge lakini kama kawaida wanasiasa wa afrika tabia ya kuachia madaraka awana bali upandikiza warithi, ambapo Job Ndugai Toka uchaguzi wa ndani wa Ccm alianza kupanga Safu ya Viongozi ambayo watakuja kumuunga mkono mlithi wake ambae ni Mkewe Bi Fatuma Mganga ambae ni Katibu tawara wa Mkoa wa Singida.
Hersi ametumia medani za Kivita kuingia Jimbo La Kongwa kwa kuitumia Taasisi ya Gsm na pamoja na Siku ya Kuzaliwa kwa Gharib Said Kuchiti maneno kuwa ameenza kampeni mapema, na kudhilisha ilo kuwa Hersi ameanza Mahesabu ya Ubunge Kongwa, ameanzia harakati zake Mji Mdogo wa Kibaingwa ambapo Kata Hii Ndio Utoa uamuzi Mbunge wa Kongwa awe nani.
Pamoja na Kata ya Kibaingwa kuwa sehemu ya maamuzi ya Ubunge wa Kongwa, Kibaingwa ni Eneo ambalo Job Ndugai wakati wote wa Ubunge wake amekuwa akipata upinzani mkubwa kuanzia kwa wanaccm wenyewe na vyama vya upinzani, kwa maana nyingine unaweza kusema Injinia Hersi Said ameanzia kumpiga Ndugai kwenye Donda Ndugu lake kuelekea kuchukua Jimbo La Kongwa Ambalo Ndugai alishakuwa anamuandaa Mkewe kuwa Mbunge 2025.
Ikumbukwe Injinia Hersi ndio anasimamia Uendeshaji wa Makampuni Ya GSM kwaiyo akili kubwa ya Hersi imetumika kuanza kampeni kwa kuitumia GSM FOUNDTION.
Unaweza ukajiuliza kwanini Hersi said anaenda kugombea ubunge kongwa endelee kunifatilia mzee code nitakuja na uzi kipi kimesababisha Hersi kusaka ubunge tena kongwa unaweza ukajiuliza Hersi na Kongwa wapi na wapi amekuwa mkazi wa Kariakoo, amesoma dar Tulia uzi unakuja soon.
Waamuzi si wapigakura?Nilipopata tetesi hizi za Rais wa Yanga kuwa mwaka 2025 atakwenda kugombea ubunge Jimbo la Kongwa nilibisha na sababu iliyonifanya nibishe ni sijawai kumuona Enjinia Hersi Said akijiusisha na Siasa kivile, lakini jana ndio nimepata uthibitisho kuwa Rais huyu wa Yanga 2025 atavuta Fomu ya Ubunge Kongwa
Siku ya jana ilikuwa na Siku ya Kuzaliwa Mwenyekiti wa Makampuni ya GSM Gharib Said ambapo alitumia siku hii kusheherekea kwa kutoa misaada ya kijamii kwenye mji mdogo wa kibaingwa hii maana yake ni nini?
Kilichofanyika jana ni akili kubwa katika kuanza kampeni za kulichukua jimbo ilo la kongwa kutoka mikono mwa Spika mtaafu Na Mbunge anamaliza Muda wake Job Ndugai, ambae yeye binafsi alitangaza kuachana na ubunge lakini kama kawaida wanasiasa wa afrika tabia ya kuachia madaraka awana bali upandikiza warithi, ambapo Job Ndugai Toka uchaguzi wa ndani wa Ccm alianza kupanga Safu ya Viongozi ambayo watakuja kumuunga mkono mlithi wake ambae ni Mkewe Bi Fatuma Mganga ambae ni Katibu tawara wa Mkoa wa Singida.
Hersi ametumia medani za Kivita kuingia Jimbo La Kongwa kwa kuitumia Taasisi ya Gsm na pamoja na Siku ya Kuzaliwa kwa Gharib Said Kuchiti maneno kuwa ameenza kampeni mapema, na kudhilisha ilo kuwa Hersi ameanza Mahesabu ya Ubunge Kongwa, ameanzia harakati zake Mji Mdogo wa Kibaingwa ambapo Kata Hii Ndio Utoa uamuzi Mbunge wa Kongwa awe nani.
Pamoja na Kata ya Kibaingwa kuwa sehemu ya maamuzi ya Ubunge wa Kongwa, Kibaingwa ni Eneo ambalo Job Ndugai wakati wote wa Ubunge wake amekuwa akipata upinzani mkubwa kuanzia kwa wanaccm wenyewe na vyama vya upinzani, kwa maana nyingine unaweza kusema Injinia Hersi Said ameanzia kumpiga Ndugai kwenye Donda Ndugu lake kuelekea kuchukua Jimbo La Kongwa Ambalo Ndugai alishakuwa anamuandaa Mkewe kuwa Mbunge 2025.
Ikumbukwe Injinia Hersi ndio anasimamia Uendeshaji wa Makampuni Ya GSM kwaiyo akili kubwa ya Hersi imetumika kuanza kampeni kwa kuitumia GSM FOUNDTION.
Unaweza ukajiuliza kwanini Hersi said anaenda kugombea ubunge kongwa endelee kunifatilia mzee code nitakuja na uzi kipi kimesababisha Hersi kusaka ubunge tena kongwa unaweza ukajiuliza Hersi na Kongwa wapi na wapi amekuwa mkazi wa Kariakoo, amesoma dar Tulia uzi unakuja soon.
Hawa wote hawafai. Tena huyo sijui Hersi ndiyo kabisaa, ni bomu. Halafu huyo mtu aliye nyuma yake GSM ni hatari kwa taifa.Nilipopata tetesi hizi za Rais wa Yanga kuwa mwaka 2025 atakwenda kugombea ubunge Jimbo la Kongwa nilibisha na sababu iliyonifanya nibishe ni sijawai kumuona Enjinia Hersi Said akijiusisha na Siasa kivile, lakini jana ndio nimepata uthibitisho kuwa Rais huyu wa Yanga 2025 atavuta Fomu ya Ubunge Kongwa
Siku ya jana ilikuwa na Siku ya Kuzaliwa Mwenyekiti wa Makampuni ya GSM Gharib Said ambapo alitumia siku hii kusheherekea kwa kutoa misaada ya kijamii kwenye mji mdogo wa kibaingwa hii maana yake ni nini?
Kilichofanyika jana ni akili kubwa katika kuanza kampeni za kulichukua jimbo ilo la kongwa kutoka mikono mwa Spika mtaafu Na Mbunge anamaliza Muda wake Job Ndugai, ambae yeye binafsi alitangaza kuachana na ubunge lakini kama kawaida wanasiasa wa afrika tabia ya kuachia madaraka awana bali upandikiza warithi, ambapo Job Ndugai Toka uchaguzi wa ndani wa Ccm alianza kupanga Safu ya Viongozi ambayo watakuja kumuunga mkono mlithi wake ambae ni Mkewe Bi Fatuma Mganga ambae ni Katibu tawara wa Mkoa wa Singida.
Hersi ametumia medani za Kivita kuingia Jimbo La Kongwa kwa kuitumia Taasisi ya Gsm na pamoja na Siku ya Kuzaliwa kwa Gharib Said Kuchiti maneno kuwa ameenza kampeni mapema, na kudhilisha ilo kuwa Hersi ameanza Mahesabu ya Ubunge Kongwa, ameanzia harakati zake Mji Mdogo wa Kibaingwa ambapo Kata Hii Ndio Utoa uamuzi Mbunge wa Kongwa awe nani.
Pamoja na Kata ya Kibaingwa kuwa sehemu ya maamuzi ya Ubunge wa Kongwa, Kibaingwa ni Eneo ambalo Job Ndugai wakati wote wa Ubunge wake amekuwa akipata upinzani mkubwa kuanzia kwa wanaccm wenyewe na vyama vya upinzani, kwa maana nyingine unaweza kusema Injinia Hersi Said ameanzia kumpiga Ndugai kwenye Donda Ndugu lake kuelekea kuchukua Jimbo La Kongwa Ambalo Ndugai alishakuwa anamuandaa Mkewe kuwa Mbunge 2025.
Ikumbukwe Injinia Hersi ndio anasimamia Uendeshaji wa Makampuni Ya GSM kwaiyo akili kubwa ya Hersi imetumika kuanza kampeni kwa kuitumia GSM FOUNDTION.
Unaweza ukajiuliza kwanini Hersi said anaenda kugombea ubunge kongwa endelee kunifatilia mzee code nitakuja na uzi kipi kimesababisha Hersi kusaka ubunge tena kongwa unaweza ukajiuliza Hersi na Kongwa wapi na wapi amekuwa mkazi wa Kariakoo, amesoma dar Tulia uzi unakuja soon.
Kwa ujinga alioufanya yanga juzi kumuondoa Gamondi hawezi kupata kuraMzee akisoma hii mada atakufa Kwa presha...injinia anaweza kugombea Jimbo lolote Tanzania na akashinda SAA 4 asubuhi
Aliyetoa mil 700 una ujumbe gani kwake?Mimi ningalimshauri engineer akawekeza zaidi ktk maisha yake baada ya kufa, mipira , siasa ni ya muda mfupi tu badala ya kujenga madrasa, misaada ktk misikitini ndio bora zaidi
Wee jamaa unajifanyaga mjuajia sana. Si usome uzi wote vizuri? Mleta mada kakiri hilo na amesema Ndugai anataka kumuweka mke wake awe mbunge.Kwani wanafuatiliaga siasa za Tanzania basi, Ndugai alishatangaza hadharani 2020 ndio mwisho.
Si usome uzi wote vizuri? Mleta mada kakiri hilo na amesema Ndugai anataka kumuweka mke wake awe mbunge.Yeye alishasema anastaafu pia jua kuwa ataendelea kupata mshahara na marupurupu ya uspika mpaka kifo. Sasa shida iko wapi hapo!
Si usome uzi wote vizuri? Mleta mada kakiri hilo na amesema Ndugai anataka kumuweka mke wake awe mbunge.Ndugai hagombei tena ubunge,,, alishatangaza hilo.
![]()
Bashe: Ndugai gombea tena ubunge 2025
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemwomba Spika wa Bunge, Job Ndugai kubadili uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge wa Kongwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.www.google.com