Ndugai kwakuwa 'Umesanuliwa' tafadhali nawe usikubali, bali 'Kisanue' ili Watanzania tujue mengi yanayosemekana yamejificha na hayavumiliki kabisa

Port unafikiri yeye haogopi wasiojulikana, huyu tayari ameshawekwa kundi la wasioaminika, lazima wasiojulikana wako nyuma yake, akisanua atasannuliwa na hatofanikiwa usishangae na ile kinga ya kutoshitakiwa ikaondolewa na akaelekea Segerea. Nafuu yake ni kukaa kimya kabisa
 
Lugha ngumu hii mkuu.. Mie mfatiliaji sana wa comment na thread zako.. bado naona hapa kuna jambo.. hutaki kulisema
 
Si ndo hivyo mimi natakaaaa! Nataka atueleze ile siku ya uzuni ilikuwaje?hapo ndo stakuwa kaachia nafasi kiume.tutamlinda😂
 
Ajaribu aone watakavyo kamua hizo kengele zake.
Akae akijua wasiojulikana hawana dini.
 
Hata kama kweli unaongelea wapi? Je hapakuwa na pakusemea?
Ukishapewa V8, nyumba, maji ,umeme bure maana yake swim with the current. Hata ukiona wanyonge tunaumia wewe hutakiwi kusema. You are part of the exploiting system.
Wewe unafikiri wabunge wa CCM wakisema ' ndioooo' hawana akili? Of course ukiondoa kibajaj na building and finance
 
Code ulizotumia zimeniacha kwenye mataa!

.."magamba matatu",.."DG"... Haya maneno nimeyageuzageuza yamenishinda kuleta maana.

Embu ya decode mzee ili twende pa1.
 
Mkuu Gent, haumtakii mema mzee Ndugai. Hawezi abadan kushindana na DOLA. Vyivyote ilivyo, uamuzi aliochukua ni wa busara. Aende Kongwa aendeleze kilimo cha karanga na Mizabibu.
 
sio dip state wala inner circle ni mtupu tu kama sie.... nchi ina mengi sana hii...kifupi nikatika waliookotwa jalaani..
 
Mkuu Gent, haumtakii mema mzee Ndugai. Hawezi abadan kushindana na DOLA. Vyivyote ilivyo, uamuzi aliochukua ni wa busara. Aende Kongwa aendeleze kilimo cha karanga na Mizabibu.
Pia ana ng'mbe wengi tu afuga wakitoa maziwa ya kutosha livestock farmer.
 
Code ulizotumia zimeniacha kwenye mataa!

.."magamba matatu",.."DG"... Haya maneno nimeyageuzageuza yamenishinda kuleta maana.

Embu ya decode mzee ili twende pa1.
Magamba Matatu is JF member.

DG is director general.

Naomba niishie hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…