Ndugai: Mkitumia lugha hizo tutagawa mbao hapa, shauri yenu...

Ndugai: Mkitumia lugha hizo tutagawa mbao hapa, shauri yenu...

ndugai amechoshwa na kauli za kishujaa kutoka zanzibar
 
Alishatibiwa ugongwa wake? Kama bado kazi ipo!!
 
Ndugai empty set haez kua anawakilisha mawazo yake hapo....trust me, alichosema ndio mtazamo wao, ye kakopi na ku-pest.
 
Kidole wala hafi mtu kabisa, inaonesha na we akili zako km huyo ndugai
 
Mhe. Ndugai in short ni bahati mbaya amekuwa kiongozi wa wananchi! Mtu huyu hasitahili kuwa kiongozi hata kidogo.
 
Mimi namuunga mkono Ndugai Wazanzibar walalamishi sana bila hoja. Go Ndugai go tupate Tanganyika yetu
 
He! wandugu mbona mmemtolea sana macho Ndugai kwa kauli yake ya kishujaa aliyoitoa?? Ndugai yuko sahihi kabisa, haiwezekan kabisa nchi kubwa yenye watu mil.45 ikubali kuburuzwa na kisiwa chenye wakaz wasiozidi mil.2 tu, kitakuwa kichekesho kikubwa endapo wajumbe wa upande wa Tanganyika watakuwa wapole na kushindwa kuwadhibiti hao wanyiabaharini. Mimi namuunga mkono Ndugai, kama vp tupoteane tu kwani kitu gani bwana na huu ndiyo wkt mwafaka kabisa kwetu TANGANYIKA KWANZA MUUNGANO BAADAYE.
 
kaka mtoi nahisi ngugai ameshasoma nyakati mi nataka iwe hivyo kaka mi naona wanipe bati mbao wachukue wenyewe.
 
Hata mimi naunga mkono tugawane mbao waende zao hao waunguja sijui wapemba hawana faida yoyote wanatutia hasara tu!kuna mjumbe mmoja kasema eti kama kamati zinaundwa kama kamati ni ya wajumbe 20 basi kumo wawe kutoka bata na kumi wawe ni kutoka zanzibar cammon are you crazy? Nyie mko 2.milion sisi tuko over 45.milion how comes tuwe sawa!embu kapanden boti mrudi kisiwan kula urojo mtuachie tanganyika yetu
 
Uongozi wa Pandu Ameir Kificho ni mzuri sana ukilinganisha na tuliouzoea. Ingewezekana tungempa aendelee mpaka mwisho.

Hata mm nlikuwa nawaza hivyo....!!huyu Kificho ni bora angekuwa mwenyekiti wa kudumu
 
Ndugai anaposema "Mkileta lugha hizo tutagawana mbao hapa, na hapa ndio mahala pake" Anamaanisha nini huku akitolea mfano wa kauli ya mjume kutoka Zanzibar aliyesema Muungano umekuwa unawakandamiza wazinzibar?

Je ni vitisho dhidi ya wanzibar kuwa muda wowote wanaweza kugawana? Ameona kuwa atakuwa anawakomoa wanzibari?

Angalau tutagawanav lakini hili la kuchukua mmoja lisiwepo. Asitutishe bali afanye tu!
 
Hata mimi naunga mkono tugawane mbao waende zao hao waunguja sijui wapemba hawana faida yoyote wanatutia hasara tu!kuna mjumbe mmoja kasema eti kama kamati zinaundwa kama kamati ni ya wajumbe 20 basi kumo wawe kutoka bata na kumi wawe ni kutoka zanzibar cammon are you crazy? Nyie mko 2.milion sisi tuko over 45.milion how comes tuwe sawa!embu kapanden boti mrudi kisiwan kula urojo mtuachie tanganyika yetu

Kwani hiyo mikoa na majimbo ya uchaguzi hupangwa idadi sawa ya wakaazi au huchukuliwa kama jimbo au Mkoa? Unapozungumzia muungano wa nchi huwezi kuhisabu watu bali ni nchi husika.
 
He! wandugu mbona mmemtolea sana macho Ndugai kwa kauli yake ya kishujaa aliyoitoa?? Ndugai yuko sahihi kabisa, haiwezekan kabisa nchi kubwa yenye watu mil.45 ikubali kuburuzwa na kisiwa chenye wakaz wasiozidi mil.2 tu, kitakuwa kichekesho kikubwa endapo wajumbe wa upande wa Tanganyika watakuwa wapole na kushindwa kuwadhibiti hao wanyiabaharini. Mimi namuunga mkono Ndugai, kama vp tupoteane tu kwani kitu gani bwana na huu ndiyo wkt mwafaka kabisa kwetu TANGANYIKA KWANZA MUUNGANO BAADAYE.

Nakuunga mkono kuwa msikubali kuburuzwa lakini sio kwa sababu ya ukubwa na udogo wa nchi mbili hizi bali usawa kwa nchi husika.
Niruhusu na mimi niseme ZANZIBAR KWANZA MUUNGANO BAADAYE.
 
heee jamani labda zile nywele zinamchanganya utadhani katoto kenye utapia mlo:baby:
 
Back
Top Bottom