Ndugai: TANESCO ni kikwazo kikuu kwa maendeleo ya Watanzania

Wakiwa nnje ndio wanajifanya kuongea ukwel na akili kuwarudi.
 
Kikwazo kikuu kwa maendeleo ya taifa la Tanzania ni Ccm, na yeye ni mmojawapo wa Wana ccm walio endeleza hicho kikwazo, atoe kelele tuu asubirie siku ya hukumu akamuonyshe yesu mke wake
 
Duuh, Ila wafanyakazi wa TANESCO wameshindwa kabisa kuendesha kampuni hii kwa faida na matokeo mazuri

Kwani si walibinafsishe hili Shirika?

Hovyo kabisa.
Uwajibikaji haupo,
Innovation inapigwa vita,
Rafiki yangu mmoja ambaye ni mfanyakazi wa hapo katika Project yake moja alikuja na Project fulani ambayo ni vital kwenye baadhi ya technicality za Umeme.

The guy came na idea ya kutambua katizo la umeme ambalo badala ya kutafuta manually kungekuwa na program maalum ya Computer ambayo ingekuwa inaonesha exactly tatizo la kukatika kwa umeme lipo wapi hasa kwa maeneo ambayo nguzo zimepita Porini.

kwa namna alivyonieleezea ilikuwa ni ku-code nguzo zote then faulty ikitokea system inaonesha kuwa umeme umeishia Pole X hivyo hauvuki kwenda Pole Y hivyo mafundi straight wanaenda pointi hizo na kukagua hitilafu inaweza kuwa imesababishwa na nini. of coz huu ulikuwa mwanzo mzuri i expected over time ingeweza kueleewa exactly nini tatizo o mafundi wakitoka ofisni they direct collect entire spares na kuelekea kwenye eneo lenye hitilafu ( Kumbuka hii kitu imefanywa sana Manually nakumbuka hawa jamaa walikuwa wanaweza poteza 18 hours kutafuta faulty iko wapi hasa kwa ameneo ambayo nguzo zimepita porini au maeneo complex)

Aliingia gharama kuangiza devices nje ili kufanya simulation, na ilifanikiwa kupita pale chuoni kwake, ilipofika Govt ndipo ilianza kukwamishwa na watu ambao wamewekwa kutatua changamoto za watanzania. From there jamaa hakutaka tena kuendelea anafanya issue zake na maisha yanasonga mbele.

Ninachotaka kusema ni kuwa baadhi ya watoa maamuzi they only tends to support mambo ambayo wana maslahi nayo, kwa hali kama hii tusitegemee kama tutakuja kusonga mbele. Mchawi wa maendeleo yetu ni hawa watoa maamuzi wenye maslahi binafsi!
 
Duuh, Ila wafanyakazi wa TANESCO wameshindwa kabisa kuendesha kampuni hii kwa faida na matokeo mazuri

Kwani si walibinafsishe hili Shirika?

Hovyo kabisa.
Ni shirika gani lililo chini ya Serikali.liliwahi kuendeshwa kwa ufanisi? Tatizo ni Serikali.

Mashirika ya umma yamekuwa mahali pa kutunzia ndugu, marafiki na chawa wa watawala, bila ya kujali uwezo wa hao watu. Wameshindwa kuendesha bandari, utegemee wamudu umeme?
 
Ameongea jambo la maana ila halina maana kwa sasa.
Ilitakiwa mambo km hayo angeyasema kipindi amekalia kile kiti pale bungeni ingeeleweka.
 
Hii nguchiro kumbe bado ipo duniani
 
Duuh, Ila wafanyakazi wa TANESCO wameshindwa kabisa kuendesha kampuni hii kwa faida na matokeo mazuri

Kwani si walibinafsishe hili Shirika?

Hovyo kabisa.
Sikumbuki vizuri ila makamba alishawahi kuliombea trioni kadhaa .sina uhakuka alifanya nini
 
ni speaker alieponzwa na ulimi kuteleza na kuropokea muhimili mkuu kwa upotoshaji
 
Ndugai angenyoiaha TU kua MAKAMBA ndo alikua kikwazo Cha maendeleo ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…