Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
- Thread starter
-
- #21
Kwani yeye ni nani asiambiwe ukweli?Yani anadhubutu kumpiga kijembe Rais na Amiri jeshi mkuu......
Seriously huwezi endesha Nchi na Serikali ambayo uko na masnitchHiyo kazi akabidhiwe Nampe Nnauye na mama awaambie Wabunge huyo si mwenzetu basi inapelekwa hoja binafsi ya vote of no confidence.
Ndugai aache Uchizi wake....!!!"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Sheria zinatungwa na Watu na Watu hao wanaweza KUZIBADILI"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Matola kama kipo jirani na zile traffic lights ni ambient nikurushie fast!Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?[emoji1][emoji1]
Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.[emoji1][emoji1]
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Sasa kama anajua sheria ipo na hakuna wa kuibadili hofu yake nini?"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Hata mademu wakali bado hakuna na pale Bambalaga tunafukuzwa Bora turudi darDodoma ni porini bwashee!
Analilia dar iwe dodoma,alijua alivyowakumbatia covid-19 akajua na yeye ni ccm,kumbe wenye ccm yao washairudisha darNdugai analilia nini
Dodoma ni porini bwashee!
Dodoma itabidi isubiri sana, kama tu shahada za uzamivu zinatolewa hovyo namna hiyo kwa wanasiasa! Basi hakuna namna zaidi ya kulifanya hili lisubiri zaidi."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Samia lazima apingwe na yeyote mwenye mapenzi na nchi hii kwa kuruhusu genge la watu wahuni!
Wacha waisome nambaeee ccm mbele kwa mbeleeemamluki wa Meko bado hawaamini kuwa meko kafa
Hivi nyinyi vitimbakwiri ni nani wa kumtisha Rais?Jinsi Mda unavyoenda ndiyo Mama atakuja jua kwamba Hana support! Pole pole Ana muscles nyuma yake!
Mama yangu Samia, katika watu ambao watakuwa Na Uzee wa uzuni unaweza Kuwa top 10 Kwa Tanzania leaders.
Huwa nasema na ntarudia over and over mpaka nione decisions zetu zina reflect "Intelligence"...hatuwezi kuwa na taifa kila kitu ni Dar es Salaam., Hauwezi kuwa na taifa la aina hiyo kamwe na ukasema una viongozi wenye maono ya miaka 50 au 30 mbele. Ni kuhujumiana tu waafrika kwa waafrika kama tuna laana flani hivi."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Yaani mnaishadadia dar sijui kuna nini? Vijana wako mikoani wanatengeneza pesa nyie vichwa panzi wa Dar ni kupata na kutumia! Miaka kibao Dar hakuna la maana alilofanya!Hata mademu wakali bado hakuna na pale Bambalaga tunafukuzwa Bora turudi dar
Tutamlinda mama dhidi ya wahuni wote ambao waliamini Magufuli ni mungu.Samia lazima apingwe na yeyote mwenye mapenzi na nchi hii kwa kuruhusu genge la watu wahuni!
Uzuri hatufi Wala hakuna namnaYaani mnaishadadia dar sijui kuna nini? Vijana wako mikoani wanatengeneza pesa nyie vichwa panzi wa Dar ni kupata na kutumia! Miaka kibao Dar hakuna la maana alilofanya!