secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwani hujui ule ni muhimuli mwingine ama nyinyi ndio wale mliishia darasa la pili cNdugai aache Uchizi wake....!!!
Ina maana Ndugai anahoji Mamlaka ya Rais? Yeye nnani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui ule ni muhimuli mwingine ama nyinyi ndio wale mliishia darasa la pili cNdugai aache Uchizi wake....!!!
Ina maana Ndugai anahoji Mamlaka ya Rais? Yeye nnani??
Kama huwezi hata kumjuwa Comrade Moses Nnauye ni nani hama hili jukwaa nenda MMU.Kweli hilo jambo limemkwaza sana Ndugai wao wazee ni wapuuzi sana kwanza walishafanya mengi mabaya kwa nchi sasa wameona mama ni mdebwedo wanatopoka wanavyotaka hiyo Nnauye ni nani mpaka tuone Ndugai hafai anafaa yeye Nnauye!
The reason why we are so poor as a country sababu ya kuwa na watu wajinga wengi kama huyo jamaa...smart responseKwani hujui ule ni muhimuli mwingine ama nyinyi ndio wale mliishia darasa la pili c
Ndugai hana njaa hizo kwa sasa! Ajipendekeze kwa lipi? Mke wake msomi mzuri na yuko kwenye system,mtoto wake Dactari nk!ukutane kwenye kura za maoni ndugai 2025
Rais kama huyu avunje bunge? Gwajima tu kamtoa jasho! Wewe kweli zezeta! Bila Mabeyo angekuwa hapo? Subiri ninyamaze tu!
We mgogo imekula kwako. Dodoma ndiyo byebyeHata Dar ni pori tu Mji mchafu na una slam kila sehemu sema ni sehemu ya kipiga hela za wananchi hasa hako kabandari subiri hangaya waingize chaka na bagamoyo ndo mtajua hamjui!
Acha ujinga huna uwezo wa kumuita Ndugai takataka kwani wewe ni ng'ombe utaliwa bucha!Kama huwezi hata kumjuwa Comrade Moses Nnauye ni nani hama hili jukwaa nenda MMU.
Hiyo takataka yenu ya Kongwa hana CV ya Comrade Moses Nnauye ndani ya chama kiukada na uadilifu.
Wakati alipokuwa house boy wa Chato mke wake alikuwa shule ya chekechea?Ndugai hana njaa hizo kwa sasa! Ajipendekeze kwa lipi? Mke wake msomi mzuri na yuko kwenye system,mtoto wake Dactari nk!
Tusifanye mchezo na hao wahuni. Kwao maslahi yao binafsi ndio kipaumbele wala hawajali kama taifa linapata hasara kiasi gani kwa vitendo vyao. Walisema hawakupenda makao makuu yahamie dodoma na sasa tunaona wanapiga munda kuhamia dodoma. Waliamua ujenzi wa bandari bagamoyo licha ya masharti hasi na kutisha kwa nchi. Sasa wanataka bandari bagamoyo ili tu binafsi na vizazi vyao vifaidike."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Source!?"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Naona wewe ndiye uliishia darasa tena la vidudu hukuwahi kujua hata ba be bi bo bu!!Kwani hujui ule ni muhimuli mwingine ama nyinyi ndio wale mliishia darasa la pili c
Sawa ni wa hovyo! Ila ujifunze kuheshimu wenzako!Wakati alipokuwa house boy wa Chato mke wake alikuwa shule ya chekechea?
Kuna spika wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania kama huyo mgogo wa Kongwa?
PGO inasemaje?Kwani sheria ya bunge ni sawa na msahafu?
Kila enzi na kitabu chake, sasa tunaandika kitabu kipya awe mpole tuu.Ndugai yuko sawa kabisa yaani hawa watu wanaturudisha nyuma kuliko toka!
Sijamuelewa kabisa hapa Ndugai."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.