Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Samia lazima apingwe na yeyote mwenye mapenzi na nchi hii kwa kuruhusu genge la watu wahuni!
Hayo ni majambo ndani ya lichama lenu, malizaneni. Sie tuko busy na wanaojivunia kubambikia watz wenzao kesi za ugaidi.
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Anaongelea bunge haramu lenye wabunge wa kuteuliwa na mwendazake kwa aslimia mia!
 
Samia ni nani asipingwe? Alichoongea spika ni kweli. Hio pia itasaidia kupunguza foleni dar ofis zote za serikali peleka dodoma.
Kwani lini zimerudi Dar? Huruhisiwi kumpinga Rais ukiwa kwenye serikali husika,akae kimya au ajiudhuru Ili akaongee vizuri..la sivyo anatafuta shida.
 
Yote kwa yote, ukweli halisi ni huu.

1. Huenda zaidi ya 90% ya watumishi wa umma hawakuwa tayari kuhamishwa kutoka Dar kwenda Dodoma.

2. Uamuzi wa kuhamishia shughuli za kiserikali kutoka Dar kuja Dodoma haukuwa na maslahi yoyote kwa taifa. Ulikuwa ni uamuzi wa kipuuzi na kipumbavu kwa 100%

3. Dodoma haiwezi kuwa mbadala wa Dar katika hali yoyote ile. Ni sawa na kujaribu kulazimisha usiku uwe mchana na mchana uwe usiku.

4. Mtawala wa sasa (Samia) ameonyesha nia ya dhati kabisa kuachana na mpango wa yeye na serikali yake kukaa Dodoma. Huenda hapapendi na hapataki Dodoma.

5. Kiuchumi Dodoma inaenda kugeuka na kuwa sawa sawa na kile kilichoipata Mtwara wakati wa kuchimbwa gesi. Watu na wafanyabiashara wengi waliaminishwa makubwa kutokea Mtwara wakati gesi inachimbwa kinguvu, wakakimbilia kuwekeza, kilichowakuta ni majuto matupu.
 
Kwan waliamua pomoja kwenda dom?
Meco aliburuza wenzake alifikiri watu ni maroboti?
Kaanikeni mahindi sasa kwenye ule uwanja wa porini chatro

Tayari miundo mbinu imeshawekwa dom kuwa mji wa kiserikali!!! Sasa kuijenga dom na now kurudi dar nikuchezea pesa za wananchi walipa kodi.... nchi kama China huwezi fanya huu upuuzi mzee wangu! Na ndo sababu wameinuka fasta kiuchumi” maana pesa yao haichezewi hata na viongozi wao!!! Huku raisi anaamua tu leo dar Kesho dom Hakuna nchi itakuwa Na maendeleo kwa ivi mzee... lazima tubane matumizi na miradi yenye Tija iishe.

Huwezi ukaacha miradi njiani umeshawekeza hela kibao alafu unaanzisha mingine huku nikufeli kw serikali mkuu tumalize miradi iliyopo, tuone faida yake maisha yawe nafuu alafu ndo tuanze miradi mipya! Izi pesa wanachezea ni kodi zetu mzee ni vile hujui nalipa kodi kwa kiasi gani haujui maumivu yake ndo sababu unashadadia upumbavu, ifike mahali serikali iyonee huruma raia wake watekeleze wanacho kianzisha sio kila raisi anakuja na lake si ela zote zinapotelea hewani
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Na wewe umeanza kuisoma namba ya wanamtandao. Na bado tutaona mengi zaidi
 
Taratibu yatima, Magufuli is dead and buried.

Mjizoeze kuishi maisha mapya ya uyatima, kuweni wapole kama wenzenu walivyokubali kuwa wapole wakati nchi inatawaliwa na washamba.

Imeisha hiyo.
Yatima hadeki ingawa kuna watu walitoa jasho kwenda ikulu kujisalimisha na leo wamesahau na kukejeli
 
Huwez kuheshimiwa kama hujiheshimu
Haya majitu yapo kwenye denial state, ni yakuyaonea huruma.

FB_IMG_1640165378197.jpg
 
Kama kuchezea kodi,basi yule kubwa la maadui aliongoza
Tayari miundo mbinu imeshawekwa dom kuwa mji wa kiserikali!!! Sasa kuijenga dom na now kurudi dom nikuchezea pesa za wananchi walipa kodi.... nchi kama China huwezi fanya huu upuuzi mzee wangu! Na ndo sababu wameinuka fasta kiuchumi” maana pesa yao haichezewi hata na viongozi wao!!! Huku raisi anaamua tu leo dar Kesho dom Hakuna nchi itakuwa Na maendeleo kwa ivi mzee... lazima tubane matumizi na miradi yenye Tija iishe.

Huwezi ukaacha miradi njiani umeshawekeza hela kibao alafu unaanzisha mingine huku nikufeli kw serikali mkuu tumalize miradi oliyopo, tuone faida yake maisha yawe nafuu alafu ndo tunaanza miradi mipya! Izi pesa wanachezea ni kodi zetu mzee ni vile hujui nalipa kodi kwa kiasi gani haujui maumivu yake ndo sababu unashadadia upumbavu, ifike mahali serikali iyonee huruma raia wake watekeleze wanacho kianzisha sio kila raisi anakuja na lake si ela zote zinapotelea hewani
 
Kwamba bunge likishatunga sheria kamwe haiwezi kubadilishwa? Anajua anachokisema kweli?
 
Back
Top Bottom