farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 583
Umezidi ufupi mkuu.. ndiomaana unafukuzwa bambalaga..Hata mademu wakali bado hakuna na pale Bambalaga tunafukuzwa Bora turudi dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezidi ufupi mkuu.. ndiomaana unafukuzwa bambalaga..Hata mademu wakali bado hakuna na pale Bambalaga tunafukuzwa Bora turudi dar
Achana na huyo ujinga wao wamejaza chuki zao za kichaga wanazodanganyana kila siku! Mpuuzi sana huyo!Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
Hoja gani za maana anazo?Hata kama aliunga mkono sawa! Kwa nini uje hapa kupinga hoja zake na matusi na kejeri huku nyingi hao hao mkitaka uhuru na demokrasia ya kutoa mawazo!
Spika kuupigia debe huo mradi wa Bagamoyo nyie S.gang mnaonaje?..Yupo sahihi kama hili ya kutaka Dodoma iwe full capital city?Hata kama aliunga mkono sawa! Kwa nini uje hapa kupinga hoja zake na matusi na kejeri huku nyingi hao hao mkitaka uhuru na demokrasia ya kutoa mawazo!
Hahahahaha aisee 😂😂😂😂😂Hata mademu wakali bado hakuna na pale Bambalaga tunafukuzwa Bora turudi dar
Labda bwana supika ana miradi yake ya catering na malazi na conferences sasa imedoda. Manake walipuyanga kununua viwanja na kuzijenga kwa pupa kama kule kwetu chatyo.Kwa akili za Nduga embe ,warsha na seminar na makongamano yakifanyika yote Dom ndio inakuwa Mji mkuu?
Una akili kweli wewe Ndugai? Kwamba kwenye miji yote mikuu Duniani ila warsha na makongamano yanafanyika kwenye capital cities?
Hivi vile viwanja walikua wanatangazaga ardhi mara NHC na wizara vya makazi, biashara na viwanda mbona waliacha ghaflaNa wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?[emoji1][emoji1]
Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.[emoji1][emoji1]
Baba Kayayiii ile naskiaga ni mihilimili inayojitegemea kwa kiongozi wa mhimili Ambae hajashikiwa akili hivyo vijembe Ruksa. Nduga hana cha kupoteza hana haja ya kurudi si uspka tu Bali hata ubungeYani anadhubutu kumpiga kijembe Rais na Amiri jeshi mkuu......
Wamehamia Kizimkazi vipo vizuri tu vinapatikana Tena karibu na bahariHivi vile viwanja walikua wanatangazaga ardhi mara NHC na wizara vya makazi, biashara na viwanda mbona waliacha ghafla
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
magufuli alikuwa haendekezi huo upuuzi wa Makongamano na warsha usiokuwa na tija. Watu wanatafuta kula hela ya serikali tu."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Ahahaaaa! na bado..sasa hivi ndo mnaujua ubaya wa ukabilaee?!!!Wewe Mchaga pumbavu zako! Mmejaa ukabila na chuki! Hapo watu wako wa kimara si walitapeliana tena kwa sehemu kuwa wachaga kwa wachaga! Halafu mje hapa mmulaumu Magufuli? Kama mna haki mama Yenu yupo madarakani nendeni mahakamani!
Kivipi
Kwa hiyo sis tulijenga kwenye hifadhi vip zile za kwenye kwenye uwanja wa ndege siyo hifadhini?!!Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
Ndugai ahojiwe mara moja aidha na Kamati ya Haki ya Bunge au au CCM yenyewe. Huyu mtu mchonganishi, anaichonganisha Serikali kwa wananchi."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
😀😀 Na bado..ndo mtajua ubaya haulipiAchana na huyo ujinga wao wamejaza chuki zao za kichaga wanazodanganyana kila siku! Mpuuzi sana huyo!
Wasukuma hawajawahi kubebwa kama nyingi we bwege! Nitolee upumbavu wako hapa!Ahahaaaa! na bado..sasa hivi ndo mnaujua ubaya wa ukabilaee?!!!
Wakati ule wasio wasukuma wakiokotwa kwenye viroba, kupigwa marisasi, kutekwa nk mliona poa!!!!.. ndo mjue sasa ubaya haulip na hii dunia si yenyu ni ya Mungu kanyageni taratibu!! Wakabila wakubwa nyie
Ahahaaa, huyu mzee kaa popo...haeleweki...roho mbayaaaaa.Spika kuupigia debe huo mradi wa Bagamoyo nyie S.gang mnaonaje?..Yupo sahihi kama hili ya kutaka Dodoma iwe full capital city?