Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Just relax,so wote waliobomolewa nyumba ni wachaga???punguza mahabba kijana.
Yule alikuwa kubwa la maadui fullstop
Wewe Mchaga pumbavu zako! Mmejaa ukabila na chuki! Hapo watu wako wa kimara si walitapeliana tena kwa sehemu kuwa wachaga kwa wachaga! Halafu mje hapa mmulaumu Magufuli? Kama mna haki mama Yenu yupo madarakani nendeni mahakamani!
 
Ila kule mwanza hazikuwa ktk hifadh???
Na kumbuka maneno aliyoyasema"Mwanza msiwabomolee kwa kuwa wapiga kura wake"
Au bdo ulikuwa mtt wakat akilonga hayo????
Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
 
Wasukuma hawajawahi kubebwa kama nyingi we bwege! Nitolee upumbavu wako hapa!
😀😀😀..kunywa maji ushushe makasiriko, ndo mjifunze madaraka ni dhamana tu...ukipewa ujiheshimu na ukumbuke leo unayo kesho huna. Kosa la dikteta limesababisha wote mnachukiwa sasa. Dawa ni muombe poo yaishe, vinginevyo makasiriko yenu kumpinga mama hayasaidii
 
Msamehe bure,mana kashapandisha mashetani huyo
[emoji3][emoji3][emoji3]..kunywa maji ushushe makasiriko, ndo mjifunze madaraka ni dhamana tu...ukipewa ujiheshimu na ukumbuke leo unayo kesho huna. Kosa la dikteta limesababisha wote mnachukiwa sasa. Dawa ni muombe poo yaishe, vinginevyo makasiriko yenu kumpinga mama hayasaidii
 
Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?[emoji1][emoji1]

Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.[emoji1][emoji1]
Huko Chato ulikuwa unamfuata Magufuli?
 
Naww kale,acha wivu wa kike
Hongera sana kwa kupata posho ya warsha na kongamano.

Mtu yeyote aneyefanya kazi serikalini kwa kuhudhuria warsha na makongamano, ina maana kuwa hajui kazi yake kwa hiyo inabidi aende kwenye warsha na kwenye makongamano kujifunza jinsi ya kufanya kazi hiyo.
 
Aitwe kwenye kamati ya chama ana kinzana na mwenyekiti huyu..mambo sasahivi ni dsm na mchamba wima.
Dodoma endeleeni kula vimbi na ubuyu wa kongwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom