Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Sasa huku ndio bungeni,huyu Ndugai nae ni mbinafsi sana anasema kuhusu Dodoma kwa kuwa Dodoma ni kwao,sisi tunamsikiliza Polepole bana
 
Kufifisha Dom ni kupi? Mbona anahangaika Sana?

Mh.Rais hivi hakuna namna ya kuweza kumbadili maana sijawahi muelewa na mambo anayoongea huwa hayana ushahidi..

Serikali iliamua kuhamia Dom toka enzi za Mwl na kila Rais amekuwa anafanya jitihada kuhakikisha hilo linawezekana.

Yaani Rais aache kufanya masuala yake na mengine ya Nchi awe anakaa Dodoma? Mwendazake alikuwa anakaa Chato na Dar, Dom ananisa na kupiga picha afu anasepa..

Hapo Dom miundombinu bado Sana kuweza kuendesha shughuli zote za Serikali. Ndio kwanza airport inajengwa, barabara na Mji wa serikali unajengwa na miradi mingine.

Huyu Job hayuko na Mama ni vyema itafutwe namna.
Miundombinu ipi bado?
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Hapa wametajwa viongozi wakuu wa serikali (Rais, waziri mkuu, mawaziri,........).
Wapende wasipende Dodoma lazima waishi.
He kuna ambao hawaendi kuishi DODOMA?.
Haiwezekani kuwa wapo sehemu nyingine (ikiwemo DSM) kikazi tu?
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Ndugai simpendi haswa hasa kwa kitendo chake kubaki sheria ya Uchaguzi kwa kuwabeba akina Mdee. Ila hili kuififisha Dodoma nitasimama na mzee wa Kongwa.
 
Kelele za ndugai zimetochosha sasa ni wakati wa system kumkamua mate
 
Ulitaka upate ww na cfa ya kupata huna???
Hongera sana kwa kupata posho ya warsha na kongamano.

Mtu yeyote aneyefanya kazi serikalini kwa kuhudhuria warsha na makongamano, ina maana kuwa hajui kazi yake kwa hiyo inabidi aende kwenye warsha na kwenye makongamano kujifunza jinsi ya kufanya kazi hiyo.
 
Kufifisha Dom ni kupi? Mbona anahangaika Sana?

Mh.Rais hivi hakuna namna ya kuweza kumbadili maana sijawahi muelewa na mambo anayoongea huwa hayana ushahidi..

Serikali iliamua kuhamia Dom toka enzi za Mwl na kila Rais amekuwa anafanya jitihada kuhakikisha hilo linawezekana.

Yaani Rais aache kufanya masuala yake na mengine ya Nchi awe anakaa Dodoma? Mwendazake alikuwa anakaa Chato na Dar, Dom ananisa na kupiga picha afu anasepa..

Hapo Dom miundombinu bado Sana kuweza kuendesha shughuli zote za Serikali. Ndio kwanza airport inajengwa, barabara na Mji wa serikali unajengwa na miradi mingine.

Huyu Job hayuko na Mama ni vyema itafutwe namna.
Unaota
 
Ndugai ni Mgogo hatakiwi aongelee sana hili sababu ya'conflict of intrest hilo tu. Kuhamishia Makao Makuu ya nchi Dodoma hata kama liko kisheria wajue Katiba si Biblia Takatifu au Kuran Tukufu.

Wengine tulisema wakati JPM akiwa hai na hata wakati huu akiwa mfu, kitendo hiki ni kutapanya raslimali za nchi. Hakuna kumuenzi Mwl JK Nyerere hapo. Sababu za wakati ule hazina mashiko nyakati hizi. Hivyo kuhamia Dodoma ilikuwa ni mkakati wa kutengeneza soko bandia la Wakandarasi.
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Wagogo waende wakachape kazi waache kulialia... Mashamba yapo wakalime!!
Maisha yanakwenda kasi sana
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Eti "sheria ya Dom mji mkuu kamwe haiwezi kubadilika", hii ni kweli ndugu zangu ?
 
Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?😄😄

Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.😄😄
Siyo mwenyekiti wa kijiji kweli? Ahahahshs popoma weee
 
Poleni Wagogo wenzangu
Anayefifisha hamasa ni sisi
Kabudi sikuku hii kubwa yupo wapi
YangaChawene wapi
Wagogo kwa ujumla ndiyo maana Mwendakwao mwishoni aliwatukana hadhatani na kumnyima dogo Mavunde unaibu waziri sisi bado sana?!!
 
Back
Top Bottom