SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Anasema Dodoma kuna vumbi sanaKwani Chifu Hangaya mwenyewe anasemaje?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema Dodoma kuna vumbi sanaKwani Chifu Hangaya mwenyewe anasemaje?
Mwambie uyo mtoto atakua ni new schoolUnataka spika wa bunge awe pamoja na rais ili iweje?
Bunge ni mhimili mwingine, hatutaki spika wa kujipendekeza tunataka anayesimamia maslahi ya taifa kwa kuihoji na kuishauri serikali.
Elimu tatizo sana!
Hata mfanyaje serikali itabakia DodomaNdugai nyumba zako za kupangisha ulizojenga Dodoma ukiaminishwa mji unakua kafugie kuku,watu wanarejea Dar
Kwanini Nigeria, Russia, walihamisha miji yao mikuu? Dar karibu asilimia 80 ni unplanned settlement, ndio roho hiyo?kwa nini kila kitu cha nchini Urusi ni Moscow, ufaransa ni Paris, Uingereza ni London kila nchi inakuwa na mji mmoja kama roho
Maamuzi ya ndgungai mengi hayaheshimiki kwa kuona tu ni yalikuwa chini yake.....yupo yupo tu.....IQ yake chini mno..... kwa mama makinda ni mbali sana sana......yaani heri kubwa kwa makinda kuliko hiki kilichovimba mashavu"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Huyu Mzee ana matatizo. A person at his position should not be uttering such words in the public. Kimadaraka ni mtu wa tatu au wa nne baada ya raisi. Kwa nini analalamika badala ya kukaa na wakubwa wenzake? Halafu mji mkuu ungekuwa umehamisiwa Singida au manyara kelele hizi toka kwa Ndugai tungesikia?"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Nitakinunua iwapo utanipa ukweli kuwa ni sababu gani zilikufanya ukakinunua. Au ilikuwa zawadi kutoka kwa Baba Mkwe?Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?😄😄
Nina kiwanja nnunua kama utakuwa mkweli kusema ni msukumo gani ulipelekea kukinunua. Au unataka kutuambia ulizawadiwa na Baba Mkwe?
Dodoma ni porini bwashee!
Kweli atakayerudisha wizara Dar huyo ni muhujumu uchumi na halipendi taifaKwanini Nigeria, Russia, walihamisha miji yao mikuu? Dar karibu asilimia 80 ni unplanned settlement, ndio roho hiyo?
😂😂😂😂😂Yani anadhubutu kumpiga kijembe Rais na Amiri jeshi mkuu......
Kuhama dar sio jambo jepesi kama unavyo fikiria hapa magufuli mwenyewe alishindwa akaamua kuhamia chato kabisaaaa"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Tena jimji la hovyo kabisa!Kwanini Nigeria, Russia, walihamisha miji yao mikuu? Dar karibu asilimia 80 ni unplanned settlement, ndio roho hiyo?
Genge la chadema linaliwaza sana chatoNa wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?[emoji1][emoji1]
Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.[emoji1][emoji1]
Hata Urusiwahuni wanataka kuhujumu Makao makuu ya nchi.
Urusi walihamisha kutoka Moscow kwenda st Petersburg na Baadae kuurudisha MOSCOW hivyo mpaka leo MOSCOW ndio capital city ya warusi, kuhusu Nigeria ile ni failed state kabisa hatuwezi kuizungumzia, kwa nini usiiongelee yamousokroKwanini Nigeria, Russia, walihamisha miji yao mikuu? Dar karibu asilimia 80 ni unplanned settlement, ndio roho hiyo?
Kwanini Nigeria, Russia, walihamisha miji yao mikuu? Dar karibu asilimia 80 ni unplanned settlement, ndio roho hiyo?