Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Aisee Magufuli alikuwa Rais bwana,alikuwa na SAUTI YA KIMAMLAKA atakumbukwa sana.

Asante Mungu kwa ajili ya maisha ya Rais Magufuli.
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchbaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Bado tunajiandaa kufuta jina lako kwenye solo lile solo mjinga mbwa wewe damu ya lisu inakuandama
 
Ndugai, tofauti ya hawa na wewe ni ipi kama si kutofautiana maeneo ya kufukia? Hawa wanafukia umuhimu wa kuhamia Dodoma. Wewe unafukia ufisadi wa miradi iiyokuwa imekataliwa kwamba ni ya kipumbavu na haina maslahi kwa taifa kwa kusingizia kwamba "... alishauriwa vibaya",. Unasahau kwamb maamuzi yote aliypitishwa na bunge na wewe ukiwa m/kiti huku ukiwadhikisha kila walioonekana kutokutembea katika maneno yako.

Leo unataka watu wakuamini kwa lilpi la ukweli? Unaweza kufanya juhudi gani za kuwafany awatu wakuamini kwamba wewe si mbinafsi na mbabaishaji usiyejali kama si kuelewa maslahi ya taifa ? Unataka kupata tonge gani la kisiasa kwenye kusema haya maneno leo? TLafadhali nisaidie, maana kusema kweli "sijawahi kuunganisha maneno yako na katiba, nia njema, upendo na kujali raia niakapata mstari ulionyoka. Ni shida.
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Sheria ndio nini? Mbona wewe ufuati sheria, umekaa na wabunge wasio na chama bungeni unafuata sheria iliyotungwa na bunge gani?
 
Et Yangachawene we jamaa una vituko kwerkwer
Poleni Wagogo wenzangu
Anayefifisha hamasa ni sisi
Kabudi sikuku hii kubwa yupo wapi
YangaChawene wapi
Wagogo kwa ujumla ndiyo maana Mwendakwao mwishoni aliwatukana hadhatani na kumnyima dogo Mavunde unaibu waziri sisi bado sana?!!
 
Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?😄😄

Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.😄😄
Usikiuze mkuu utajuta badae Chato itakua sehemu ya hija takatfu kwa Dr Magufuli.
 
Kufifisha Dom ni kupi? Mbona anahangaika Sana?

Mh.Rais hivi hakuna namna ya kuweza kumbadili maana sijawahi muelewa na mambo anayoongea huwa hayana ushahidi..

Serikali iliamua kuhamia Dom toka enzi za Mwl na kila Rais amekuwa anafanya jitihada kuhakikisha hilo linawezekana.

Yaani Rais aache kufanya masuala yake na mengine ya Nchi awe anakaa Dodoma? Mwendazake alikuwa anakaa Chato na Dar, Dom ananisa na kupiga picha afu anasepa..

Hapo Dom miundombinu bado Sana kuweza kuendesha shughuli zote za Serikali. Ndio kwanza airport inajengwa, barabara na Mji wa serikali unajengwa na miradi mingine.

Huyu Job hayuko na Mama ni vyema itafutwe namna.
Unataka spika wa bunge awe pamoja na rais ili iweje?

Bunge ni mhimili mwingine, hatutaki spika wa kujipendekeza tunataka anayesimamia maslahi ya taifa kwa kuihoji na kuishauri serikali.

Elimu tatizo sana!
 
Huwa nasema na ntarudia over and over mpaka nione decisions zetu zina reflect "Intelligence"...hatuwezi kuwa na taifa kila kitu ni Dar es Salaam., Hauwezi kuwa na taifa la aina hiyo kamwe na ukasema una viongozi wenye maono ya miaka 50 au 30 mbele. Ni kuhujumiana tu waafrika kwa waafrika kama tuna laana flani hivi.
kwa nini kila kitu cha nchini Urusi ni Moscow, ufaransa ni Paris, Uingereza ni London kila nchi inakuwa na mji mmoja kama roho
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Hiyo sheria ambayo anasema haiwezi badilika ni msahafu au biblia?
 
Ndugai nyumba zako za kupangisha ulizojenga Dodoma ukiaminishwa mji unakua kafugie kuku,watu wanarejea Dar
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Hebu tutumie uthibitisho kwamba Ndugai ameyasema haya, sikupingi ila sijayaona sehemu nyingine yoyote zaidi ya humu
 
Back
Top Bottom