Kuuuumbeee!!Amenyimwa jina la soko !!Badala ya kuitwa Ndugai Limeitwa Nnauye
Ndo sababu ya makasirikooo!!
Sasa anataka kujilinganisha na chiriku Nnauye!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuuumbeee!!Amenyimwa jina la soko !!Badala ya kuitwa Ndugai Limeitwa Nnauye
Kwani yeye anaupinga ?!Yani anadhubutu kumpiga kijembe Rais na Amiri jeshi mkuu......
Hujafika Dodoma kabisa wewe sio bure, Dom ni porini!Dodoma ni porini bwashee!
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Ujinga alikufa nao meko bwasheeYaani wao wako kutetea ujinga wa serkali hii
Mjinga ni babayako! Bwege wewe!Ujinga alikufa nao meko bwashee
Hao washazoea kupumuliana na kupakana mijasho kwenye magari ya usafiri huku wakiingia majumbani usiku wakitoka kazini na hiyo ndo akili kwao! Huku wakijitwika ujuaji usio na kichwa wala miguu!Hujafika Dodoma kabisa wewe sio bure, Dom ni porini!
Ambao hawakubomolewa nyumba mwanza wote ni Wasukuma? Ukiwa mjinga ni shida sana hujui unachojua!Just relax,so wote waliobomolewa nyumba ni wachaga???punguza mahabba kijana.
Yule alikuwa kubwa la maadui fullstop
Mjinga mama yako aliyejilengesha nikampiga mti akazaa tahira kama weweMjinga ni babayako! Bwege wewe!
Mh tumia kofia yako ya uenyekiti wa ccm muondoshe usipka huyo hakukubali"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Ukiwasaliti wenzio nawe watakusaliti tu unavuna ulichopandaJinsi Mda unavyoenda ndiyo Mama atakuja jua kwamba Hana support! Pole pole Ana muscles nyuma yake!
Mama yangu Samia, katika watu ambao watakuwa Na Uzee wa uzuni unaweza Kuwa top 10 Kwa Tanzania leaders.
Endelea kujifurahisha pimbi! Wewe!Mjinga mama yako aliyejilengesha nikampiga mti akazaa tahira kama wewe
Inabidi tutunge sheria mpya kuhamishia makao makuu kwenda Singida."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.
Nenda kaombe dua kaburini acha matusiTumia akili fala wewe
Dodoma kumekaa kishamba sana. Ndugai ni mgogo yeye ameshapazoea."....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."
"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"
"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."
"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."
Amesema Ndugai.