Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Tusifanye mchezo na hao wahuni. Kwao maslahi yao binafsi ndio kipaumbele wala hawajali kama taifa linapata hasara kiasi gani kwa vitendo vyao. Walisema hawakupenda makao makuu yahamie dodoma na sasa tunaona wanapiga munda kuhamia dodoma. Waliamua ujenzi wa bandari bagamoyo licha ya masharti hasi na kutisha kwa nchi. Sasa wanataka bandari bagamoyo ili tu binafsi na vizazi vyao vifaidike.
Tukatae kwa pamoja na kwa nguvu wahuni.

Kuna watu ni kenge sana mkuu! Yani kila kitu tuliwekewa Wazi lakini bado wanakomaa na bandari sijui nani katuloga aise!!! Wanachoshidwa kuelewa shida sio kwasababu mama samia ndo raisi Hapana, asimamie mambo ya msingi sasa imefika sehemu ukitoa mawazo unaitwa sukuma gang
 
Cpangiw in jiwes voice
Kuna watu ni kenge sana mkuu! Yani kila kitu tuliwekewa Wazi lakini bado wanakomaa na bandari sijui nani katuloga aise!!! Wanachoshidwa kuelewa shida siku kwasababu mama samia ndo raisi Hapana, asimamie mambo ya msingi sasa imefika sehemu ukitoa mawazo unaitwa sukuma gang
 
Kuna watu ni kenge sana mkuu! Yani kila kitu tuliwekewa Wazi lakini bado wanakomaa na bandari sijui nani katuloga aise!!! Wanachoshidwa kuelewa shida siku kwasababu mama samia ndo raisi Hapana, asimamie mambo ya msingi sasa imefika sehemu ukitoa mawazo unaitwa sukuma gang
Ni kweli kila kitu mliweka wazi? Profesa Assad mlimfukuza ili kuficha nini?

IMG-20211222-WA0002.jpg
 
Huwa nasema na ntarudia over and over mpaka nione decisions zetu zina reflect "Intelligence"...hatuwezi kuwa na taifa kila kitu ni Dar es Salaam., Hauwezi kuwa na taifa la aina hiyo kamwe na ukasema una viongozi wenye maono ya miaka 50 au 30 mbele. Ni kuhujumiana tu waafrika kwa waafrika kama tuna laana flani hivi.
Dar ni jiji la hovyo kabsa halifai kwa shughuli yoyote ya maana na ndio maana wakazi wake waliowengi akili yao sio sawa. Haiwezekani unafika nyumbani saa 5 za usiku sababu ya foleni then kesho eti utaamka na akili timamu na uwahi kazini.
 
Yote kwa yote, ukweli halisi ni huu.

1. Huenda zaidi ya 90% ya watumishi wa umma hawakuwa tayari kuhamishwa kutoka Dar kwenda Dodoma.

2. Uamuzi wa kuhamishia shughuli za kiserikali kutoka Dar kuja Dodoma haukuwa na maslahi yoyote kwa taifa. Ulikuwa ni uamuzi wa kipuuzi na kipumbavu kwa 100%

3. Dodoma haiwezi kuwa mbadala wa Dar katika hali yoyote ile. Ni sawa na kujaribu kulazimisha usiku uwe mchana na mchana uwe usiku.

4. Mtawala wa sasa (Samia) ameonyesha nia ya dhati kabisa kuachana na mpango wa yeye na serikali yake kukaa Dodoma. Huenda hapapendi na hapataki Dodoma.

5. Kiuchumi Dodoma inaenda kugeuka na kuwa sawa sawa na kile kilichoipata Mtwara wakati wa kuchimbwa gesi. Watu na wafanyabiashara wengi waliaminishwa makubwa kutokea Mtwara wakati gesi inachimbwa kinguvu, wakakimbilia kuwekeza, kilichowakuta ni majuto matupu.
Sasa hapo ndo unaonesha ujinga wako mtwara si wameiangusha na kuinyonya team msoga! Na haya mambo ya kurudi Dodoma ulitaka yafanyike maoni? Bila ujasiri wa kufanya mambo tunabaki pale pale! Yaani unaposema ni uamuzi wa kipuuzi na kipumbavu unamaanisha hata Nyerere na ni mpumbavu? Pumbavu sana ulaaniwe na kizazi chalo!
 
Tayari miundo mbinu imeshawekwa dom kuwa mji wa kiserikali!!! Sasa kuijenga dom na now kurudi dom nikuchezea pesa za wananchi walipa kodi.... nchi kama China huwezi fanya huu upuuzi mzee wangu! Na ndo sababu wameinuka fasta kiuchumi” maana pesa yao haichezewi hata na viongozi wao!!! Huku raisi anaamua tu leo dar Kesho dom Hakuna nchi itakuwa Na maendeleo kwa ivi mzee... lazima tubane matumizi na miradi yenye Tija iishe.

Huwezi ukaacha miradi njiani umeshawekeza hela kibao alafu unaanzisha mingine huku nikufeli kw serikali mkuu tumalize miradi oliyopo, tuone faida yake maisha yawe nafuu alafu ndo tunaanza miradi mipya! Izi pesa wanachezea ni kodi zetu mzee ni vile hujui nalipa kodi kwa kiasi gani haujui maumivu yake ndo sababu unashadadia upumbavu, ifike mahali serikali iyonee huruma raia wake watekeleze wanacho kianzisha sio kila raisi anakuja na lake si ela zote zinapotelea hewani
Kwendraaaaaah!
Meko alivokuwa anabomoa nyumba za wananchi makusudi huku akiamrisha nyumba za sukuma gang zisibomolewe alikuwa anabana matumiz yapi? Kujenga liuwanja la kimataifa porin chato na kuhamishia wanyama pori huko chato alikuwa anabana matumizi yepi? Kutembea na maburungutu ya mihela barabaran akiigawa hovyo, kuvamia mabenki ya wananchi na kuyapora alikuwa anabana matumiz yepi? Kutumia pesa za wananchi maskini kununulia waNasiasa wa upinzani na kuwabandika vyeo huku akiwapuuza wana ccm wenzake waliomuweka madarakani alikuwa anabana matumuzi yepi...list ni ndefu..
Kwa taarifa yako hatukai kwa wagogo tulikopelekwa kwa kuburuzwa na kikundi cha watu wachache,, tunarudi zetu town
 
Tusifanye mchezo na hao wahuni. Kwao maslahi yao binafsi ndio kipaumbele wala hawajali kama taifa linapata hasara kiasi gani kwa vitendo vyao. Walisema hawakupenda makao makuu yahamie dodoma na sasa tunaona wanapiga munda kuhamia dodoma. Waliamua ujenzi wa bandari bagamoyo licha ya masharti hasi na kutisha kwa nchi. Sasa wanataka bandari bagamoyo ili tu binafsi na vizazi vyao vifaidike.
Tukatae kwa pamoja na kwa nguvu wahuni.
Ndugai unayemuona yupo sahihi si anaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?..
 
"....wakati fulani Dodoma ilikuwa mchaka mchaka wa hakika kuelekea kuwa Mji mkuu wa Serikali ki vitendo na hata ulipokuwa unawaangalia Viongozi wakuu wa Serikali ulikuwa unaona nyuso za haja za kulimaliza hilo mapema kabisa."

"...sasa hivi kila warsha na kongamano ni Dar!"

"...hii siyo sawasawa kabisa Dodoma ni Mji na makao makuu ya Nchi ki sheria na hata hao wanaofanya kampeni za kufifisha safari hiyo wanapoteza muda wao bure tu."

"...ndugu zangu wapende ama wasipende Dodoma ni lazima wataishi kwa sababu Bunge lilishatunga sheria na kamwe haiwezi kubadirika."

Amesema Ndugai.
Hoja ya Dodoma kuwa mji mkuu imepitwa na wakati ivyo sio lazima mji mkuu uwe Dodoma
 
Kwendraaaaaah!
Meko alivokuwa anabomoa nyumba za wananchi makusudi huku akiamrisha nyumba za sukuma gang zisibomolewe alikuwa anabana matumiz yapi? Kujenga liuwanja la kimataifa porin chato na kuhamishia wanyama pori huko chato alikuwa anabana matumizi yepi? Kutembea na maburungutu ya mihela barabaran akiigawa hovyo, kuvamia mabenki ya wananchi na kuyapora alikuwa anabana matumiz yepi? Kutumia pesa za wananchi maskini kununulia waNasiasa wa upinzani na kuwabandika vyeo huku akiwapuuza wana ccm wenzake waliomuweka madarakani alikuwa anabana matumuzi yepi...list ni ndefu..
Kwa taarifa yako hatukai kwa wagogo tulikopelekwa kwa kuburuzwa na kikundi cha waru wachache,, tunarudi zetu town
Wewe Mchaga pumbavu zako! Mmejaa ukabila na chuki! Hapo watu wako wa kimara si walitapeliana tena kwa sehemu kuwa wachaga kwa wachaga! Halafu mje hapa mmulaumu Magufuli? Kama mna haki mama Yenu yupo madarakani nendeni mahakamani!
 
Ndugai unayemuona yupo sahihi si anaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?..
Hata kama aliunga mkono sawa! Kwa nini uje hapa kupinga hoja zake na matusi na kejeri huku nyingi hao hao mkitaka uhuru na demokrasia ya kutoa mawazo!
 
Kwendraaaaaah!
Meko alivokuwa anabomoa nyumba za wananchi makusudi huku akiamrisha nyumba za sukuma gang zisibomolewe alikuwa anabana matumiz yapi? Kujenga liuwanja la kimataifa porin chato na kuhamishia wanyama pori huko chato alikuwa anabana matumizi yepi? Kutembea na maburungutu ya mihela barabaran akiigawa hovyo, kuvamia mabenki ya wananchi na kuyapora alikuwa anabana matumiz yepi? Kutumia pesa za wananchi maskini kununulia waNasiasa wa upinzani na kuwabandika vyeo huku akiwapuuza wana ccm wenzake waliomuweka madarakani alikuwa anabana matumuzi yepi...list ni ndefu..
Kwa taarifa yako hatukai kwa wagogo tulikopelekwa kwa kuburuzwa na kikundi cha waru wachache,, tunarudi zetu town

Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
 
Back
Top Bottom