Ndugai: Watanzania wanalalamikia mfumo wa elimu, wanataka majadiliano

Ndugai: Watanzania wanalalamikia mfumo wa elimu, wanataka majadiliano

Mfumo Wa Elimu Ya Tanzania Mwaka 1990- 2008 Hauna shida yeyote. Hakika Niliyofundishwa yote yananiweka Mjini.
Abrianna anafahamu na ningependa afanye Research na Kuutetea Mfumo wetu wa Elimu.
Ni uleule tu, sema kipimdi hicho fursa na ajira kwa waliosoma Ilikuwa nyingi.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ipo haja ya kufungua Mjadala wa Elimu, na ndiyo maana Wabunge wamekuwa wakisema washirikishwe

Akiwa Bungeni Dodoma amemwambia Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako, "Sisi tunataka Elimu ya Tanzania tuitazame. Hayo sijui ipo Wizara gani, sisi kama Wananchi haituhusu, tunataka tuseme tunataka nini kwenye Elimu"

Ameongeza, "Tena Elimu ya Chuo Kikuu ndiyo watu wanalalamikia kuliko hata ya chini. Mliangalie vizuri ndani ya Serikali, namna gani ya kushirikishana"

Chanzo: Bunge

 
najaribu kuwaza hapa, mustakabali wa elimu ukajadiliwe na form four failure, sijui nini kitatoka hapo, lakini pia sina uhakika hata kama wabunge wameelewa muktadha wa spika wao katika hili suala.

mi naona bunge liunde kamati itakayohusisha wasomi na baadhi ya wabunge (ambao pia wana exposure juu ya mifumo ya elimu)

lakini bunge likijichukulia huu mjadala lenyewe tuu, nawaza yule mbunge aliyesema magufuli aongezewe miaka hata kwa kumlazimisha atachangia nini
Yaani mtaala wa elimu badala ya kujadiliwa na wataalamu, ndugai anataka apelekewe yeye akaujadili na msukuma na kibajaji! kweli??
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ipo haja ya kufungua Mjadala wa Elimu, na ndiyo maana Wabunge wamekuwa wakisema washirikishwe

Akiwa Bungeni Dodoma amemwambia Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako, "Sisi tunataka Elimu ya Tanzania tuitazame. Hayo sijui ipo Wizara gani, sisi kama Wananchi haituhusu, tunataka tuseme tunataka nini kwenye Elimu"

Ameongeza, "Tena Elimu ya Chuo Kikuu ndiyo watu wanalalamikia kuliko hata ya chini. Mliangalie vizuri ndani ya Serikali, namna gani ya kushirikishana"

Chanzo: Bunge
NDUGAI sasa amechukua nafasi ya upinzani, anaikosoa na kuishauri serikali. SWALI: Sasa ameelewa umuhimu wa nafasi ya kambi ya upinzani?
 
Suala zito kama hilo analiongelea kiwepesi namna hiyo, as if hajui ubovu wa hii elimu, ama kweli wasomi wa
tz ni takataka.

Suala la mabadiriko ya elimu linawahitaji wadau ambao ni wahusika kama vile wananchi wa chini& wanafunzi

Sio hao wanasiasa wasiojua shida za elimu hii kwakuwa watoto zao wanasoma huko nchi zilizoendelea,

Mabadiriko ya elimu haliwahitaji hao wadau wao wapuuzi ambao hawana maono yoyote ktk taifa ili.
 
Mfumo Wa Elimu Ya Tanzania Mwaka 1990- 2008 Hauna shida yeyote. Hakika Niliyofundishwa yote yananiweka Mjini.
Abrianna anafahamu na ningependa afanye Research na Kuutetea Mfumo wetu wa Elimu.
Utaonaje ukubwa wa box kama hujatoka nje yake?? ni wapuuzi wachache wanaoweza kukuunga mkono,

Hakuna msomi mwenye akli timamu atashindwa kujua ubovu wa hii elimu
 
Kwa alichosema spika,tukisema hata maamuzi pale bungeni yana athiriwa
na ubora wa elimu tuzipatazo katika vyuo vyetu tutakuwa tumekosea?
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ipo haja ya kufungua Mjadala wa Elimu, na ndiyo maana Wabunge wamekuwa wakisema washirikishwe.

Akiwa Bungeni Dodoma amemwambia Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako, "Sisi tunataka Elimu ya Tanzania tuitazame. Hayo sijui ipo Wizara gani, sisi kama Wananchi haituhusu, tunataka tuseme tunataka nini kwenye Elimu"

Ameongeza, "Tena Elimu ya Chuo Kikuu ndiyo watu wanalalamikia kuliko hata ya chini. Mliangalie vizuri ndani ya Serikali, namna gani ya kushirikishana"

Chanzo: Bunge
Ndugai ameanza kuwa na akili.
 
Mnhh... Huyu mtu mbona anashangaza sana..!!
 
Hili lijob zuzu kweli shida ipo chuo kikuu?!! Kwa hio vyuoni wanaenda smart ila wanatoka empty? Huyu ana akili za kindezi kbsa. Hili zuzu kwa kila kitu. Utopolo msingi, olevel, alevel na baraza hawauoni akili za kizuzu kbsa.
Duuh we jamaa huwezi kujenga hoja kinzani bila ya takriri ya maneno makali yenye dhihaka iliyopitiliza?!!
 
Back
Top Bottom