Ndugai: Ya Ulimwengu ni Maoni ya Wengi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Spika Ndugai atajidanganya pakubwa kumnyooshea kidole Ulimwengu.

Aliyoyasema Ulimwengu yanawakilisha maoni ya wengi. Zanzibar inapongezwa kwa hali ya maridhiano iliyopo inayeleta kupungua kwa misuguano:

Balozi Wright atamani maridhiano ya Zanzibar yaje Bara

Kwanini Zanzibar maridhiano ni muhimu na isiwe huku bara? Kwanini sisi kupigwa changa la macho eti uchumi kwanza?



Tusimung'unye maneno. Ndugai apate kutusikia:

"Tunaosimama na Ulimwengu tujuane."

Ndugai:

"Mtu mzima hatishiwi nyau."
 
Ndugai angekuwa mwerevu hata kwa kiwango akidogo sana, angetambua kuwa hilo bunge lake, wananchi walio wengi, wenye akili, wanaona ni upuuzi mtupo. Halina maana, halina mchango wowote, linawatia hasara wananchi. Wanalipwa bila ya kuwa na kazi yoyote yenye tija.

Ndugai parliament is double dutch.
 

Heshima haishurutishwi. Heshima hujengwa.

Mtu huvuna alichopanda.

Ndugai huu ni muda muafaka sasa kwake kuvuma dengu alizopanda.
 
YUKO MBIONI KUACHANA DUNIA HUYO
 
Heko Jenerali, Ndugai ameshapoteza akili zake tangu 2015.
 

Attachments

  • IMG_20211112_115100_819.jpg
    65.4 KB · Views: 1
Speaker wa hovyo. Aloyeharibu credibility yake mwenyewe kwa kumtukuza jiwe. Sasa anaitafuta kwa wengine
Tuache ulimwengu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…