Nimejaribu kufuatilia kinachoendelea mpaka nikashangaa watanzania walivyo mbumbumbu, nilivyomsikia ndugai sidhani kama alimaanisha watanzania tusikope kabisa bali ametizama matumizi ya mkopo wa trilioni 1.3 tuliokopa ili tujenge madarasa n.k akatazama kwenye bajeti yetu tulisema tunaweka tozo za miamala kwa ajili ya ujenzi wa madaarasa.
kweli binafsi namuunga mkono hatutakiwi kukopa mikopo nje kujenga madarasa, kujenga vyoo, kununua madawati, hivi ni vitu tufanye kwa fedha zetu za kodi na michango.
Sasa kama chama fulani wana utaratibu wa kutoshauriana, wanasapoti chochote ambacho serikali inafanya basi sisi watanzania tusio makada tutakuwa mbumbumbu tukibeba haya na kushangilia.
Kazi ya bunge ni kushauri serikali, hivyo spika kusema mtizamo wake ulio tofauti na msimamo wa serikali ni jambo la kupongeza
kweli binafsi namuunga mkono hatutakiwi kukopa mikopo nje kujenga madarasa, kujenga vyoo, kununua madawati, hivi ni vitu tufanye kwa fedha zetu za kodi na michango.
Sasa kama chama fulani wana utaratibu wa kutoshauriana, wanasapoti chochote ambacho serikali inafanya basi sisi watanzania tusio makada tutakuwa mbumbumbu tukibeba haya na kushangilia.
Kazi ya bunge ni kushauri serikali, hivyo spika kusema mtizamo wake ulio tofauti na msimamo wa serikali ni jambo la kupongeza