Salaam, Shalom!!
Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!
Ulimaanisha nini?
1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?
2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?
3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?
4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?
5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?
6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?
Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?
Basi endelea kusubiri!!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni 🙏
Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!
Ulimaanisha nini?
1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?
2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?
3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?
4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?
5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?
6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?
Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?
Basi endelea kusubiri!!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni 🙏