GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Namba tatu Tena😂😂😂😂
Hapana alikua miga debe wa dathlamKwani namba tatu ni arasii mstaafu.
Ni arasiii mustaaafuNamba tatu ndo nani huyo?
What a techniqueMwana mpendwa alishika namba mbili. Au unazungumzia Nani?
CCM bila Ndugulile hilo jimbo halipo - kupanga ni kuchagua. Kama alivyohitimisha mtoa mada hapo juu, huo ndiyo ukweli wenyewe.
Fumbo zito but ni namba 2Aliyeshika Namba Tatu huko Kigamboni unaambiwa 'anahangaika' kwa wana CCM, Waandamizi Serikalini hadi kwa Wajumbe Dodoma ili apite Yeye.
Namba tatu ndo nani huyo?