Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Hao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.

Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
Atamteua wapi wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia October 2020 ni Tundu Antipas Lissu
 
Una uhakika wa 100% Mkuu? Kichwani mwako zinakutosha sawa sawa? Nyie ndiyo Watu wachache ambao huwa mnaniboa na nawajibu Kunya hapa.
Bashite ndo anapitishwa - mpende msipende. Hizi ni habari za uhakika kabisa. Sorry Dr Ndugulile utateuliwa Balozi ukafanye dimplomasia ya kiuchumi!
 
Atamteua wapi wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia October 2020 ni Tundu Antipas Lissu

Sina uhakika kama aina ya Bange / Bangi uliyoivuta leo ilikuwa inakufaa Wewe au ilikuwa inapelekwa kwa Wanamgambo wa Al - Shaabab Somalia.
 
Mleta mada Hakuna kitu huwa unakiongea kinafanikiwa kikishindwa unakuja kujikomba komba CCM ohh tuache makundi tuwe wamoja una unafiki ulikithiri Hadi unakera mtu mzima hovyo kabisa wewe

Yakitoka tu yaliyo kinyume na utabiri wakonwa kinafiki unajitia kubweka bweka kuhurumiwa Kama bwege
 
Wewe ndio poyoyo Sasa. Huna taarifa

Hujui na wala hutajua kwanini 'nimekwepesha' hivyo. Kwahiyo kwa madai yako kabisa Mwenyewe unajua kuwa GENTAMYCINE nimekosea hapo?
 
Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.

Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
Nazidi kuchoma ubani wauane kabisa.
 
Mkuu kinachoonekana walioshindwa kura za maoni watapitishwa kama ilivyotokea leo kwa madiwani.
Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.

Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
 
Dodoma nasikia ngumi zapigwa uko upande wa ngazi ya udiwani
 
Hujui na wala hutajua kwanini 'nimekwepesha' hivyo. Kwahiyo kwa madai yako kabisa Mwenyewe unajua kuwa GENTAMYCINE nimekosea hapo?
Umeweka code za kitoto mno. Yaani iko wazi Sana. Sikunyingine umiza kichwa zaidi.
 
Bashite ndo anapitishwa - mpende msipende. Hizi ni habari za uhakika kabisa. Sorry Dr Ndugulile utateuliwa Balozi ukafanye dimplomasia ya kiuchumi!

Na ndiyo maana baada ya GENTAMYCINE 'kuzipata' hizi tena leo hii hii nimeona 'nimtahadharishe' mapema tu Ndugu Faustine Ndugulile asitusaliti.
 
Mleta mada Hakuna kitu huwa unakiongea kinafanikiwa kikishindwa unakuja kujikomba komba CCM ohh tuache makundi tuwe wamoja una unafiki ulikithiri Hadi unakera mtu mzima hovyo kabisa wewe

Yakitoka tu yaliyo kinyume na utabiri wakonwa kinafiki unajitia kubweka bweka kuhurumiwa Kama bwege

Hujawahi kuwa na hata 1% tu ya IQ pindi uwapo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo basi acha niendelee Kujadili na Werevu baki na Ujuha wako.
 
Dodoma nasikia ngumi zapigwa uko upande wa ngazi ya udiwani

Tegemeeni 'Fujo' Kubwa kutokea huko Kigamboni kama 'Mtoto Mpendwa' atapitishwa 'Kilazima' na 'Kiupendeleo' na F. Ndugulile 'Kutupwa' Kando.
 
Hujawahi kuwa na hata 1% tu ya IQ pindi uwapo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo basi acha niendelee Kujadili na Werevu baki na Ujuha wako.
Ngoja uone kitakachotokea kilicho kinyume na matarajio yako ndipo utajithibitisha mwenyewe kuwa Huna akili huhitaji wa kukupima akili yako
 
Back
Top Bottom