BASHITENamba tatu ndo nani huyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASHITENamba tatu ndo nani huyo?
Huo ni upuuzi tu na unaonyesha chuki yako kwa Paulo, waswahili ni roho nyeusi tu kama rangi zao
Mbona wote wapo hapa Jf,Ungemtag kabisa mh F.ndugulile na huyo DAB
Nimeona Mimi si vyema kuwatag,huu Uzi ni wakwako nitakuwa naingilia maudhui yakoWewe unashindwa / umeshindwa nini tu 'Kuwatagi' kwa Niaba yangu hapa kama tayari umeshakiri kuwa wapo na huwa tuko nao 24/7 tu hapa JF?
Nduguyule hana mvuto kisiasa na hasaidii sana chama... tutatafuta namna bora lkn sio kwakumpa 'manenepa'. Nduguyule na manenepa tutawataftia kazi nyingine
Nimeona Mimi si vyema kuwatag,huu Uzi ni wakwako nitakuwa naingilia maudhui yako
Ndiyo maana nimekupa ushauri,ukiufanyia kazi Sawa pia usipoufanyika kazi Sawa yote kheri ndugu Genta
Ukiacha chuki,wivu, taarifa zisizo sahihi na ushabiki mandaz makoda nimtendaji na msemaji bora kuliko nduguleYaani mkitaka Watu wa Kigamboni 'wawaelewe' na wasiwe na 'Kisununu' ni bora tu 'muwakate' wote Ndugulile na huyo 'Kubwa Jinga' mumpendae.
Kumbe anategemea Godmother pia,du huyo jamaa kweli ni shida akikwama anasogea kwa Godfather.Taarifa za uhakika kutoka chanzo cha ndani kabisa zinasema Bashite alikuwa akimsumbua mama jana Jumanne wakiwa kwenye kikao Chamwino Ikulu.
Mpaka kikao kinaisha majira ya saa2 usiku bado Bashite alikuwa akipiga simu kumuuliza mama imekuwaje.
Hivi hizi harakati za chama ndo zifanyikie ikulu yetu takatifu?
Namba tatu?
1. Ndugulile - 190
2. Makonda - 122
3. No body remembers
Au ni
1. JPM
2. Mama Samia
3. Makonda ??
Kwanza wanakigambon hatumtaki wakimpitisha tunapiga chiniHao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.
Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
Namba tatu ndo nani huyo?