Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Huo ni upuuzi tu na unaonyesha chuki yako kwa Paulo, waswahili ni roho nyeusi tu kama rangi zao
 
Huo ni upuuzi tu na unaonyesha chuki yako kwa Paulo, waswahili ni roho nyeusi tu kama rangi zao

Tena siyo tu kwamba simpendi bali pia ninamchukia, na bahati nzuri tu ni kwamba hata Yeye Mwenyewe anajua ulibakia tu 'Bwege' Wewe Kulijua.
 
Mbona wote wapo hapa Jf,Ungemtag kabisa mh F.ndugulile na huyo DAB
 
Mama anabusara ni bora wachukue maamuzi ya jimbo kwenda upinzani kuliko kubariki maamuzi ambayo kimsingi ni yeye na boss wake wameshindwa na wataonekana hawawezi kusimamia maamuzi na misimamo yao.
 
Mbona wote wapo hapa Jf,Ungemtag kabisa mh F.ndugulile na huyo DAB

Wewe unashindwa / umeshindwa nini tu 'Kuwatagi' kwa Niaba yangu hapa kama tayari umeshakiri kuwa wapo na huwa tuko nao 24/7 tu hapa JF?
 
Nduguyule hana mvuto kisiasa na hasaidii sana chama... tutatafuta namna bora lkn sio kwakumpa 'manenepa'. Nduguyule na manenepa tutawataftia kazi nyingine
 
Wewe unashindwa / umeshindwa nini tu 'Kuwatagi' kwa Niaba yangu hapa kama tayari umeshakiri kuwa wapo na huwa tuko nao 24/7 tu hapa JF?
Nimeona Mimi si vyema kuwatag,huu Uzi ni wakwako nitakuwa naingilia maudhui yako
Ndiyo maana nimekupa ushauri,ukiufanyia kazi Sawa pia usipoufanyika kazi Sawa yote kheri ndugu Genta
 
Nduguyule hana mvuto kisiasa na hasaidii sana chama... tutatafuta namna bora lkn sio kwakumpa 'manenepa'. Nduguyule na manenepa tutawataftia kazi nyingine

Yaani mkitaka Watu wa Kigamboni 'wawaelewe' na wasiwe na 'Kisununu' ni bora tu 'muwakate' wote Ndugulile na huyo 'Kubwa Jinga' mumpendae.
 
Nimeona Mimi si vyema kuwatag,huu Uzi ni wakwako nitakuwa naingilia maudhui yako
Ndiyo maana nimekupa ushauri,ukiufanyia kazi Sawa pia usipoufanyika kazi Sawa yote kheri ndugu Genta

Nimekuruhusu rasmi nakuomba sasa Wewe ufanye hiyo Kazi ya 'Kuwatagi' na usisahau pia kumwambia huyo 'Kubwa Jinga' kuwa simpendi mno tu.
 
Yaani mkitaka Watu wa Kigamboni 'wawaelewe' na wasiwe na 'Kisununu' ni bora tu 'muwakate' wote Ndugulile na huyo 'Kubwa Jinga' mumpendae.
Ukiacha chuki,wivu, taarifa zisizo sahihi na ushabiki mandaz makoda nimtendaji na msemaji bora kuliko ndugule
 
Taarifa za uhakika kutoka chanzo cha ndani kabisa zinasema Bashite alikuwa akimsumbua mama jana Jumanne wakiwa kwenye kikao Chamwino Ikulu.
Mpaka kikao kinaisha majira ya saa2 usiku bado Bashite alikuwa akipiga simu kumuuliza mama imekuwaje.

Hivi hizi harakati za chama ndo zifanyikie ikulu yetu takatifu?
Kumbe anategemea Godmother pia,du huyo jamaa kweli ni shida akikwama anasogea kwa Godfather.
Lakini kiukweli hatakiwi kupewa nafasi kwa kutumia milima mirefu au ni share holder wa uongozi wa nchi?
Kuna siri gani?
 
Wakati wa Bunge maalum la Katiba kuna mtu alikwapua kilongalonga cha Mama mmoja ndani ya Bunge hilo hivi alikuwa nani vile mwenye kumbukumbu nzuri anikumbushe tafadhali.
 
hivi kuna nini nyuma ya huo ubunge....mbana watu wanautaka kwa hali na mali...?
maana huyo namba tatu kama ni pesa alizichota za kutosha sana...kwa kifupi kwa sasa anaompunga naweza kumuweka kwenye kundi la milionea kama sio bilionea....ila bado anahangaika na ubunge
 
Ooookay, alishika nafasi ya pili lakini ki ma mamlaka alikuwa namba 3 . Juu yake JPM, ssh halaf yeye!!!
 
Hao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.

Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
Kwanza wanakigambon hatumtaki wakimpitisha tunapiga chini
 
Na uchaguzi wa Kigamboni ulikiwa "very Quality" lakini kundi litakuwa Ltd kwenye masuala fulani hivi.

Tusisahau siku hizi hata kwenye masuala kama haya ya uchaguzi kuna VAR.
 
Back
Top Bottom