Ndugu Harris Kapiga

Status
Not open for further replies.
Wenye homoni za Kike ndio
Hutinda nyusi ?
Jambo hili halifai hata kusingiziwa kwa mtumishi wa Mungu.
Unatinda nyusi kwa nia ipi ?
Unataka uwe mrembo ili iweje ?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa Smart na Kuwa Mrembo.
Hizo sio homoni ni mashambulizi ya Shetani na wewe unayaendekeza.

Either Pray Hard to Refrain From This Evil Spirits,
Or Consult Your Church Immediately.
Jesus Loves You.
 
Kumpokea Kristo ni jambo jingine na kuishi na Kristo ni jingine pia
Mkuu kama unaongelea harusi iliyofanyika Diamond Jubilee ilikuwa poa sana aliendesha vizuri sana, Beef zako na yeye usichangaye na kazi yake. Yule ni Mtanashati safi na kijana amempokea Kristo..
 
He is very well known "BOFLO". Tambua hilo.
Maandishi hayafutiki ni kama roho haifi
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Hii habari ya kuwa jamaa ni punga imekuwako mtaani zaidi ya miaka mitano sana. Inaaminika aliondoka PPR kwasababu ya ''maneno haya kuzidi na hivyo kuelekea kudhalilisha radio na
Sasa hapa ni mwaka 2011 watu wanadai miaka mitano nyuma na zaidi...

Hivi utasema anasingiziwa...??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…