witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
I can feel it....ujue namcheki u tube from 2015 hakika jamaa pozi zake ni tata asee!Sasa nimeamini huyo Harris Kapiga Hasingiziwi......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I can feel it....ujue namcheki u tube from 2015 hakika jamaa pozi zake ni tata asee!Sasa nimeamini huyo Harris Kapiga Hasingiziwi......
Duuuh kumbe tangu nov 2011 watu walishaanza kuona walakini
Watoto 4Kweli kabisa harris ameoa na anawatoto wawili
Watu nomaHahaha mapemaaa tuuu Bulls eye
Tuhuma za 2011 ila watu wanakuambia five years back jamaa alishakuwa na hizo shutumaI can feel it....ujue namcheki u tube from 2015 hakika jamaa pozi zake ni tata asee!
Umeandika kwa uchungu sanaHARRIS KAPIGA, sidhani kama ni shoga, ila anazo homons za kike kama walivyo wanaume wengi tu. ni kweli, wapo wanaume wengi sana wamezaliwa na homorn za kike lakini hawainamishwi. kwa upande wangu nimemfahamu kitambo sana tangu alipokuwa joy bringers kwa rwakatale, akaenda praise power radio, na hata siku yeye na mkewe (mkewe nakumbuka alikuwa daktari kama sikosei) walipotangaza uchumba siku hiyo nilikuwepo na hadi ndoa inafungwa nilikuwepo hata mkewe alipopata ujauzito mara ya kwanza nilimwona miaka hiyo nilikuwa nasali kwa rwakatale. ni kweli kwamba anazo homon za kike kwa sura na sauti na hata mapozi, lakini sidhani kama huo ni ushoga.
kitu pekee ambacho nilikuwa nakiona kwake tangu nimfahamu ambacho nafikiri nitamwambia ili ajirekebishe ni kwamba, kama alivyomwambia mkewe siku ile walipotoka honey moon walipokuja kutoa shukran baada ya kufunga ndoa na hata siku walipotangaza uchumba, nakumbuka yule mkewe aliseme "NAMSHUKURU MUNGU NIMEPATA MWANAUME MZURI". so its like, ni kweli hatuwezi kubisha hasa sisi wanaume kama mimi ambao sura zetu sio nzuri na huwa tunajihisi hatuvutii sana kwa sura kwa wanawake (mimi binafsi ni mweusi, mfupi kidogo na nina sura ya ukali kutokana na ugumu wa maisha niliopitia/kufiwa na wazazi na ndugu mara nyingi na frustration/depression nyingi za maisha).
anajijua kuwa wanawake watamsema kuwa yeye ni handsome, na kweli yeye ni handsome. sasa inaonekana kwasababu alishawahi kuambiwa na wanawake kuwa yeye ni handsome basi anaringa sana. kusema kweli harris anaringa sana, hata mapozi yake, sijui labda ndivyo alivyozaliwa, anapoongea anavyochezesha mdomo na kila kitu ni kama mtu aliyeambiwa wewe ni mzuri hivyo anauonyesha uzuri huo kwa watu.
binafsi sidhani kama harris ni punga, ila ninaomba, watu wamemsema sana kuhusu hili, anatakiwa kuwadhihirishia watu kuwa yeye sio punga. ANATAKIWA KUACHA MARA MOJA KUJIREMBA SANA, NIMEONA PICHA ZAKE SEHEMU NYINGI ANATINDA NYUSI, mara nyingi anakuwa sharobaro kupita maelezo.....mwanaume kama una pesa hata usipojikubua au kutinda nyusi wewe bado kidume tu, kwanini anajitinda nyusi? kwanini anajiparua na mapoda kama wadada? hauoni kama unapofanya hivyo ndivyo unavyozidi kuwadhihirishia watu kuwa wanachosema pengine ni cha kweli?hivi utamwomba Mungu akusafishe kwenye jambo hili wakati wewe bado unatinda nyusi, unapiga mascrub hadi poda why can't you change tukuone kwenye sura nyingine....unajisikiaje mzee unapotinda nyusi? hata kama wewe sio shoga lakini unapotinda nyusi kama wanavyofanyaga mashoga etc na wewe ni mlokole unautukanisha ulokole wote, ni sawa na mwanadada anavaa nguo mbaya za uchi halafu anasem mimi sio malaya, sio malaya wakati unavaa vibaya na unataka tukuamini? inawezekana sio malaya lakini kwa nguo zake watu wanaweza kuamini kuwa malaya na wakatukanisha ulokole wote. wewe umekuwa kioo cha jamii miaka mingi hata kwa wakristo chochote unachofanya na unavyoishi jua hauishi kwaajili yako tu unaishi kwa wakristo, ukijichubua unafanya watu waseme walokole kujichubua au kutinda nyusi wanaume ni sahihi wakati walokole halisi wote watapinga wanaume kutinda nyusi kama wewe...kwanini mzee...
sisi sote tuna dhami, mim mwenyewe nina dhambi nyingi pamoja na kwamba nilishawahi kuwa mlokole hapo kwa rwakatale zamani, naamini Mungu atanipokea na kunirejesha nikasali kwani nimemtenda Mungu dhambi sana, nimekuwa mzinzi nimemtenda mke wangu sana nimezaa nje ya ndoa mimi ni mchafu sio kwamba nakunyooshea kidole kwasababu mimi ni malaika hapana, sisi wote tu wenye dhambi, sasa naomba kama wewe sio punga, acha hizo swaga za kutinda nyusi na kujirembaremba halafu mwombe Mungu akusafishe, kama unasingiziwa Mungu atakusafisha, kama hausingiziwi acha mara moja.
Kwahiyo kuanzia 2005/6[emoji15] [emoji15] [emoji15]Tuhuma za 2011 ila watu wanakuambia five years back jamaa alishakuwa na hizo shutuma
Hayo ni makadiria ya karibu kwa nilivyoelewaKwahiyo kuanzia 2005/6[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asee[emoji15]Hayo ni makadiria ya karibu kwa nilivyoelewa
Kuoa na kuwa na watoto hakuzuii kupigwa bomba... Kuna kiongozi mkubwa tu ana mke na watoto na nimesoma nae na anapigwa bomba mpaka kesho... Na anayempiga bomba ni msela pia alianza kumpindua tangu tunasoma. Soo point yako ya kuwa na mke na watoto haina mashiko... hao wa hivyo tunawaita Sigara Kali unaiwasha popote mbele ama nyuma yenyewe fresh tu.Kweli kabisa harris ameoa na anawatoto wawili
Hauna elimu ya ushoga... Ushoga una aina Kama tatuSawaaa,sikatai ila tabia ni kama ngozi jaman...kama angekuwa shoga si tungeona,huo muda fupi sio wiki moja au mbili na wala sio mwezi...maaana vitu vingine mseme mkiwa mmeshuhudia,kuliko kufanya dhana kwasababu tu ya swagga zake zinaboa..mmeshamshuhudia akigeuzwa mpaka mumuite shoga??? maana shoga hata itokee nyapu ya mdada hapo hashtuki,vipi yeye ana watoto..au ndo kapandikiza???
Konki mara tatu mkuuKonki konki master oil chafu
🤣🤣🤣🤣[emoji3]
Gay ni gay tu... kiswahili chetu ndio mnamtifautisha kwamba ni basha anayegongwa punga.. Lakini wote ni mashoga tu.. . Awe ana dinya au anadinywa. Tofauti ndio ipo hapo kwenye hizo aina.Basha sio shoga!
Wewe ni basha...???Basha sio shoga!
Asante na kwaheri!
Naona unajisoma kimyakimya,naona unajitetea ..hahaa