imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wasukuma wa Kashishi wameshaamshwa na Salumu MwalimuAhaahh kawaida tu mkuu acha tusubirie 28/10/2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma wa Kashishi wameshaamshwa na Salumu MwalimuAhaahh kawaida tu mkuu acha tusubirie 28/10/2020
Una muombea shetani kheri siutakuwa ume changanyikiwaMkuu tusifike huko,tuombeane heri
Ipo siku yao tuwandike kwenye kumbukumbu zetu kama sio sisi basi watoto wetu waje kuwa ChemshaAnaenda kuwaambia wapiga kura kwamba watamchoma sindano rais wao mtarajiwa?.
Oyee mkuu karibu hapa viwanja vya stendi tusikilize nondo za James
Amenona.Tumbo limefutuka hatari?
Magina, na wewe?Ahaahhahah,upo mtaa upi hapa Mwanhuzi?
Kichwa cha Habari Naomba kisomeke "Kumwakilisha JPM Meatu", siyo kuokoa jahazi maana liko vizuri tu!Baada ya mgombea urais wa CCM kusema kuwa hatoweza kufika baadhi ya mikoa hapa Tanzania, CCM imemutuma Ndugu Herry James ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa kuwa kusawazisha mambo.
Je, ataweza?
View attachment 1612652View attachment 1612654View attachment 1612655View attachment 1612656