Ndugu/ jamaa akikwambia amelazwa hospitali nenda kamuone pengine anahitaji Msaada wako sana!

Ndugu/ jamaa akikwambia amelazwa hospitali nenda kamuone pengine anahitaji Msaada wako sana!

shibela

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,068
Reaction score
3,507
Ilikuwa ni asubuhi na mapema mwezi uliopita, nimeamka ili niende kwenye mihangaiko yangu,ghafla nikasikia tumbo kama linakatwa na kisu Ile shwaaaa!

Nikashtuka nini hiki,nikajikaza hapo nikaendelea kujiandaa,kadri muda ulivyokua unasogea na maumivu nayo yanazidi!

Nikawa sielewielewi shida nini, kadri muda ulivyozidi kusogea maumivu nayo yakawa makali sana upande wa kushoto wa tumbo.

Mtoto wa mama mkwe akaniambia anipeleke hospital nikamwambia hapana aende tu kwenye mishe zake mimi nitaenda mwenyewe (alikua na safari ya kikazi na Mimi sikuchukulia yale maumivu serious kiviiile)aisee ni kama nimejiloga!

Nikatoka ndani vizuri nikawasha ka baby walker huyo hospital, jiani maumivu yakazidi kuwa makali Sana Sana Sana!ikabidi nikatize kwenye kituo kimoja cha afya kiko njiani (hapa nilifanya mistake kubwa).

kufika pale wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu,ndo Kwanza yanazidi nikapelekwa ultrasound kwenda kucheck hamna tatizo, nikarudishwa chumba cha mapumziko!

Mle ndani nikawa peke yangu hali ikazidi kuwa mbaya sana, maumivu yakawa ni makali mno,
NIkawa sijiwezi kwa lolote, siwezi ku shout Ile niwaite,siwezi kujisogeza,ghafla nikaanza kupoteza fahamu, nikawa napoteza fahamu baada ya muda nazinduka,muda kidogo nazimia tena, hapo hakuna hata nesi/ daktari anayekuja kuchungulia! Nikajua siku zangu zimeisha! Nilijiona kabisa nakufa peke yangu ndani ya kile chumba!

Baadae nikapoteza fahamu tena nilipozinduka nikaona wamenizingira! Nikawatajia password ya simu,wakampigia mtoto wa mama mkwe alikua safarini, ikabidi ageuze,wakawapigia pia watu wa kazini kwangu,mtoto wa mama mkwe yeye akampigia rafiki Yake aje kutoa Msada akaja!

Kwahiyo akaja rafiki Yake na wafanyakazi wenzangu, wakatafuta Mtu mwingine wa kusoma ultrasound ikaonesha Nina ectopic pregnancy na imeshakua ruptured!

Wakafanya utaratibu hapo,nikahamishwa hospitali Kwa matibabu zaidi!

Ujumbe uliokusudiwa ni kuwa, kama uko na ndugu/ jamaa yuko hospital kama Una nafasi nenda kamuone Pengine anakuhitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote, kama ambavyo wafanyakazi wenzangu pamoja na shemeji yangu walivyonisaidia mimi! Pale kituo cha afya walikua na kazi ya kuniongezea Madrip ya maji tu! Mpka watu wangu walivyofika ndo heka heka zikaanza

ALamsiki!!!
 
Pole sana!! Kuna wale kina sie tutakuambia tu ngoja tusikie madaktari watasemaje??

Kwani hiyo utra sound waliposoma mara ya kwanza hawakuona tatizo??
Yeah hawakuona tatizo,ndo wakaniweka chumba cha mapumziko wakaniacha humo!!
 
Pole sana mkuu, tunashukuru kama upo salama sasa, ectopic pregnancy ni emergency situation isingegundulika mapema yangekuwa mengine.
 
Pole Sana mkuu kwa hali ngumu uliyopitia bt tunashukuru Mungu uliweza kupata nafuu.
 
Inategemea na uhusiano uliopo kati yangu na huyo ndugu au jamaa.
Kuna ndugu au jamaa hata wakifa mbele yangu moyo haushituki.
Halafu kuna wale hata wakiumwa mafua nakua attention sana mpaka wapone.
 
Ilikuwa ni asubuhi na mapema mwezi uliopita,nimeamka ili niende kwenye mihangaiko yangu,ghafla nikasikia tumbo kama linakatwa na kisu Ile shwaaaa!
Nikashtuka nini hiki,nikajikaza hapo nikaendelea kujiandaa,kadri muda ulivyokua unasogea na maumivu nayo yanazidi!!
Nikawa sielewi elewi shida nini, kadri muda ulivyozidi kusogea maumivu nayo yakawa makali Sana upande WA kushoto wa tumbo.
Mtoto WA mama mkwe akaniambia anipeleke hospital nikamwambia hapana aende Tu kwenye mishe zake mi nitaenda mwenyewe (alikua na safari ya kikazi,na Mimi sikuchukulia Yale maumivu serious kiviiile)aisee ni kama nimejiloga!
Nikatoka ndani vizuri nikawasha ka baby walker huyo hospital, jiani maumivu yakazidi kuwa makali Sana Sana Sana!ikabidi nikatize kwenye kituo kimoja cha afya kiko njiani(hapa nilifanya mistake kubwa)
kufika pale wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu,ndo Kwanza yanazidi nikapelekwa ultrasound kwenda kucheck hamna tatizo,nikarudishwa chumba cha mapumziko!

MLe ndani nikawa peke yangu Hali ikazidi kuwa mbaya Sana, maumivu yakawa ni makali mno,
NIkawa sijiwezi Kwa lolote,siwezi ku shout Ile niwaite,siwezi kujisogeza,ghafla nikaanza kupoteza fahamu, nikawa napoteza fahamu baada ya muda nazinduka,muda kidogo nazimia tena,hapo hakuna hata nesi/daktari anayekuja kuchungulia! Nikajua siku zangu zimeisha! Nilijiona kabisa nakufa peke yangu ndani ya kile chumba!!
Baadae nikapoteza fahamu tena nilipozinduka nikaona wamenizingira!!
Nikawatajia password ya simu,wakampigia mtoto wa mama mkwe alikua safarini,ikabidi ageuze,wakawapigia pia watu wa kazini kwangu,mtoto wa mama mkwe yeye akampigia rafiki Yake aje kutoa Msada akaja!
kwahiyo akaja rafiki Yake na wafanyakazi wenzangu,wakatafuta MTU mwingine WA kusoma ultrasound ikaonesha Nina ectopic pregnancy na imeshakua ruptured!!
wakafanya utaratibu hapo,nikahamishwa hospitali Kwa matibabu zaidi!!
ujumbe uliokusudiwa ni kuwa,kama uko na ndugu/jamaa Yuko hospital kama Una nafasi nenda kamuone Pengine anakuhitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote,kama ambavyo wafanyakazi wenzangu pamoja na shemeji yangu walivyonisaidia mimi!!! Pale kituo cha afya walikua na kazi ya kuniongezea Madrip ya maji tu!! Mpka watu wangu walivyofika ndo heka heka zikaanza
ALamsiki!!!
Pole Sanaa..
Haya Mambo mpaka yakukute...aisee utajua thamani ya UHAI..
Mimi pia nimejifunza kuthamini Maisha yangu na ya wanao nizunguka
 
Ilikuwa ni asubuhi na mapema mwezi uliopita,nimeamka ili niende kwenye mihangaiko yangu,ghafla nikasikia tumbo kama linakatwa na kisu Ile shwaaaa!
Nikashtuka nini hiki,nikajikaza hapo nikaendelea kujiandaa,kadri muda ulivyokua unasogea na maumivu nayo yanazidi!!
Nikawa sielewi elewi shida nini, kadri muda ulivyozidi kusogea maumivu nayo yakawa makali Sana upande WA kushoto wa tumbo.
Mtoto WA mama mkwe akaniambia anipeleke hospital nikamwambia hapana aende Tu kwenye mishe zake mi nitaenda mwenyewe (alikua na safari ya kikazi,na Mimi sikuchukulia Yale maumivu serious kiviiile)aisee ni kama nimejiloga!
Nikatoka ndani vizuri nikawasha ka baby walker huyo hospital, jiani maumivu yakazidi kuwa makali Sana Sana Sana!ikabidi nikatize kwenye kituo kimoja cha afya kiko njiani(hapa nilifanya mistake kubwa)
kufika pale wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu,ndo Kwanza yanazidi nikapelekwa ultrasound kwenda kucheck hamna tatizo,nikarudishwa chumba cha mapumziko!

MLe ndani nikawa peke yangu Hali ikazidi kuwa mbaya Sana, maumivu yakawa ni makali mno,
NIkawa sijiwezi Kwa lolote,siwezi ku shout Ile niwaite,siwezi kujisogeza,ghafla nikaanza kupoteza fahamu, nikawa napoteza fahamu baada ya muda nazinduka,muda kidogo nazimia tena,hapo hakuna hata nesi/daktari anayekuja kuchungulia! Nikajua siku zangu zimeisha! Nilijiona kabisa nakufa peke yangu ndani ya kile chumba!!
Baadae nikapoteza fahamu tena nilipozinduka nikaona wamenizingira!!
Nikawatajia password ya simu,wakampigia mtoto wa mama mkwe alikua safarini,ikabidi ageuze,wakawapigia pia watu wa kazini kwangu,mtoto wa mama mkwe yeye akampigia rafiki Yake aje kutoa Msada akaja!
kwahiyo akaja rafiki Yake na wafanyakazi wenzangu,wakatafuta MTU mwingine WA kusoma ultrasound ikaonesha Nina ectopic pregnancy na imeshakua ruptured!!
wakafanya utaratibu hapo,nikahamishwa hospitali Kwa matibabu zaidi!!
ujumbe uliokusudiwa ni kuwa,kama uko na ndugu/jamaa Yuko hospital kama Una nafasi nenda kamuone Pengine anakuhitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote,kama ambavyo wafanyakazi wenzangu pamoja na shemeji yangu walivyonisaidia mimi!!! Pale kituo cha afya walikua na kazi ya kuniongezea Madrip ya maji tu!! Mpka watu wangu walivyofika ndo heka heka zikaanza
ALamsiki!!!
Hivi huu mguu wa avatar wa kwako?
 
aaah ok je inawwza kuelrekebishwa na mimba ikawa ndani ya kizazi au ni inakua hvohvo tu
Haiwezi kurekebishwa,mara nyingi zinatolewa ili kuokoa maisha ya mama! Ni kitu hatari Sana mkuu!
Yangu ilitunga kwenye mrija,uIe mrija ukapasuka,nikapata inner bleeding, nikapoteza damu nyingi Sana,ndo chanzo cha kuanza kuzimia!!
 
Ilikuwa ni asubuhi na mapema mwezi uliopita,nimeamka ili niende kwenye mihangaiko yangu,ghafla nikasikia tumbo kama linakatwa na kisu Ile shwaaaa!
Nikashtuka nini hiki,nikajikaza hapo nikaendelea kujiandaa,kadri muda ulivyokua unasogea na maumivu nayo yanazidi!!
Nikawa sielewi elewi shida nini, kadri muda ulivyozidi kusogea maumivu nayo yakawa makali Sana upande WA kushoto wa tumbo.
Mtoto WA mama mkwe akaniambia anipeleke hospital nikamwambia hapana aende Tu kwenye mishe zake mi nitaenda mwenyewe (alikua na safari ya kikazi,na Mimi sikuchukulia Yale maumivu serious kiviiile)aisee ni kama nimejiloga!
Nikatoka ndani vizuri nikawasha ka baby walker huyo hospital, jiani maumivu yakazidi kuwa makali Sana Sana Sana!ikabidi nikatize kwenye kituo kimoja cha afya kiko njiani(hapa nilifanya mistake kubwa)
kufika pale wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu,ndo Kwanza yanazidi nikapelekwa ultrasound kwenda kucheck hamna tatizo,nikarudishwa chumba cha mapumziko!

MLe ndani nikawa peke yangu Hali ikazidi kuwa mbaya Sana, maumivu yakawa ni makali mno,
NIkawa sijiwezi Kwa lolote,siwezi ku shout Ile niwaite,siwezi kujisogeza,ghafla nikaanza kupoteza fahamu, nikawa napoteza fahamu baada ya muda nazinduka,muda kidogo nazimia tena,hapo hakuna hata nesi/daktari anayekuja kuchungulia! Nikajua siku zangu zimeisha! Nilijiona kabisa nakufa peke yangu ndani ya kile chumba!!
Baadae nikapoteza fahamu tena nilipozinduka nikaona wamenizingira!!
Nikawatajia password ya simu,wakampigia mtoto wa mama mkwe alikua safarini,ikabidi ageuze,wakawapigia pia watu wa kazini kwangu,mtoto wa mama mkwe yeye akampigia rafiki Yake aje kutoa Msada akaja!
kwahiyo akaja rafiki Yake na wafanyakazi wenzangu,wakatafuta MTU mwingine WA kusoma ultrasound ikaonesha Nina ectopic pregnancy na imeshakua ruptured!!
wakafanya utaratibu hapo,nikahamishwa hospitali Kwa matibabu zaidi!!
ujumbe uliokusudiwa ni kuwa,kama uko na ndugu/jamaa Yuko hospital kama Una nafasi nenda kamuone Pengine anakuhitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote,kama ambavyo wafanyakazi wenzangu pamoja na shemeji yangu walivyonisaidia mimi!!! Pale kituo cha afya walikua na kazi ya kuniongezea Madrip ya maji tu!! Mpka watu wangu walivyofika ndo heka heka zikaanza
ALamsiki!!!
Inaendelèeaaq.....xxxx
 
Ilikuwa ni asubuhi na mapema mwezi uliopita,nimeamka ili niende kwenye mihangaiko yangu,ghafla nikasikia tumbo kama linakatwa na kisu Ile shwaaaa!
Nikashtuka nini hiki,nikajikaza hapo nikaendelea kujiandaa,kadri muda ulivyokua unasogea na maumivu nayo yanazidi!!
Nikawa sielewi elewi shida nini, kadri muda ulivyozidi kusogea maumivu nayo yakawa makali Sana upande WA kushoto wa tumbo.
Mtoto WA mama mkwe akaniambia anipeleke hospital nikamwambia hapana aende Tu kwenye mishe zake mi nitaenda mwenyewe (alikua na safari ya kikazi,na Mimi sikuchukulia Yale maumivu serious kiviiile)aisee ni kama nimejiloga!
Nikatoka ndani vizuri nikawasha ka baby walker huyo hospital, jiani maumivu yakazidi kuwa makali Sana Sana Sana!ikabidi nikatize kwenye kituo kimoja cha afya kiko njiani(hapa nilifanya mistake kubwa)
kufika pale wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu,ndo Kwanza yanazidi nikapelekwa ultrasound kwenda kucheck hamna tatizo,nikarudishwa chumba cha mapumziko!

MLe ndani nikawa peke yangu Hali ikazidi kuwa mbaya Sana, maumivu yakawa ni makali mno,
NIkawa sijiwezi Kwa lolote,siwezi ku shout Ile niwaite,siwezi kujisogeza,ghafla nikaanza kupoteza fahamu, nikawa napoteza fahamu baada ya muda nazinduka,muda kidogo nazimia tena,hapo hakuna hata nesi/daktari anayekuja kuchungulia! Nikajua siku zangu zimeisha! Nilijiona kabisa nakufa peke yangu ndani ya kile chumba!!
Baadae nikapoteza fahamu tena nilipozinduka nikaona wamenizingira!!
Nikawatajia password ya simu,wakampigia mtoto wa mama mkwe alikua safarini,ikabidi ageuze,wakawapigia pia watu wa kazini kwangu,mtoto wa mama mkwe yeye akampigia rafiki Yake aje kutoa Msada akaja!
kwahiyo akaja rafiki Yake na wafanyakazi wenzangu,wakatafuta MTU mwingine WA kusoma ultrasound ikaonesha Nina ectopic pregnancy na imeshakua ruptured!!
wakafanya utaratibu hapo,nikahamishwa hospitali Kwa matibabu zaidi!!
ujumbe uliokusudiwa ni kuwa,kama uko na ndugu/jamaa Yuko hospital kama Una nafasi nenda kamuone Pengine anakuhitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote,kama ambavyo wafanyakazi wenzangu pamoja na shemeji yangu walivyonisaidia mimi!!! Pale kituo cha afya walikua na kazi ya kuniongezea Madrip ya maji tu!! Mpka watu wangu walivyofika ndo heka heka zikaanza
ALamsiki!!!
Aisee pole sana hii kitu ni hatari sana sana. Kidogo nimpoteza mtu hivi hivi
 
Haiwezi kurekebishwa,mara nyingi zinatolewa ili kuokoa maisha ya mama! Ni kitu hatari Sana mkuu!
Yangu ilitunga kwenye mrija,uIe mrija ukapasuka,nikapata inner bleeding, nikapoteza damu nyingi Sana,ndo chanzo cha kuanza kuzimia!!
Pole sana! Na huo mguu vipi?
 
Back
Top Bottom